Ally Kamwe amtolea povu Baba Levo "Sijakutuma kuniombea msamaha"

Ally Kamwe amtolea povu Baba Levo "Sijakutuma kuniombea msamaha"

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Ally Kamwe amtolea povu Baba Levo: akisema: "Sijakutuma kuniombea msamaha," baada ya Kampuni ya Kisheria inayomwakilisha mfanyabiashara Sandaland the Only One, mtengenezaji wa jezi za Klabu ya Simba, kumtumia barua ikimtaka kulipa fidia ya Shilingi Bilioni Tatu.

Barua hiyo inadai kwamba kauli za Kamwe zimemchafua mteja wao na kuathiri biashara zake, hali iliyoibua mjadala mkubwa.
Pia, Soma: Wanasheria wa Sandaland wadai fidia ya Bilioni 3 dhidi ya Ally Kamwe kwa kukashfu Jezi za Simba
 
Hizi episode ni kutuondoa kwenye kujadili madudu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Inakuondoa wewe na nani? Hivi mbona nyie CDM mnapenda sana kujipa unuhiku msiokuwa nao kwenye maisha ya watanzania? Yaani hamtaki watanzania tuongee masuala mengine zaidi ya kuwaonea huruma mlivyoshindwa kusimamisha wagombea kwenye baadhi ya maeneo na mkapata asilimia 0.09 kwenye uchaguzi nchi nzima?

Inasikitisha😀😀😀
 
Inakuondoa wewe na nani? Hivi mbona nyie CDM mnapenda sana kujipa unuhiku msiokuwa nao kwenye maisha ya watanzania? Yaani hamtaki watanzania tuongee masuala mengine zaidi ya kuwaonea huruma mlivyoshindwa kusimamisha wagombea kwenye baadhi ya maeneo na mkapata asilimia 0.09 kwenye uchaguzi nchi nzima?

Inasikitisha😀😀😀
Is sad kwamba idiot hawezi kujua kama ni idiot
 
Back
Top Bottom