Ally Kamwe Aongoza Dua Yanga SC Iwe Kundi Moja na Mamelodi Sundowns

Ally Kamwe Aongoza Dua Yanga SC Iwe Kundi Moja na Mamelodi Sundowns

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, ameongoza dua ya kuomba timu yao iweze kupangwa kundi moja na Mamelodi Sundowns katika michuano ya CAF Champions League. Dua hii inakuja baada ya Yanga kufuzu hatua ya makundi kwa msimu wa pili mfululizo, ikifanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kwa mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili. Uliocheza jana Septemba 21, Visiwani Zanzibar
460582064_1435894077105145_7175066635371154110_n.jpg
 
Kisasi ni HAKI YETU.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Inategemea unatumia maandiko gani. Maandiko mengine yanasema "Kisasi ni juu yangu. Mimi nitalipa, asema Bwana".

Ngoja muishie kupata kapoint kamoja ambako mmeshajipa, sijui mtaficha wapi sura zenu.
 
Inategemea unatumia maandiko gani. Maandiko mengine yanasema "Kisasi ni juu yangu. Mimi nitalipa, asema Bwana".

Ngoja muishie kupata kapoint kamoja ambako mmeshajipa, sijui mtaficha wapi sura zenu.
Yanga ya sasa sio timu ya kupigia ramli au sio timu ya bahati nasibu, wamekamilika na wanajibeba wao wenyewe, kwaiyo unapoongea uwe tiyali kuendelea kupata maumivu day to day ilimradi isije tu ukajinyonga!
 
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, ameongoza dua ya kuomba timu yao iweze kupangwa kundi moja na Mamelodi Sundowns katika michuano ya CAF Champions League. Dua hii inakuja baada ya Yanga kufuzu hatua ya makundi kwa msimu wa pili mfululizo, ikifanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kwa mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili. Uliocheza jana Septemba 21, Visiwani Zanzibar
Wameanza kumdhihaki na Mungu
 
Huku ni kulewa sifa , hamna timu ya kuifunga mamelodi nyie. Mamelodi siyo timu ya wale wakimbizi wa Burundi wala timu ya wanachuo wa Ethiopia.

Hicho kikundi chenu cha vibabu siyo cha kuomba kikutane na mamelodi.
 
Huku ni kulewa sifa , hamna timu ya kuifunga mamelodi nyie. Mamelodi siyo timu ya wale wakimbizi wa Burundi wala timu ya wanachuo wa Ethiopia.

Hicho kikundi chenu cha vibabu siyo cha kuomba kikutane na mamelodi.
mamelodi ile chini ya yule kocha mhuni ilikua hamna timu. hii ya sasa chini ya kocha wao mpya imebadilika vibaya mno.
 
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, ameongoza dua ya kuomba timu yao iweze kupangwa kundi moja na Mamelodi Sundowns katika michuano ya CAF Champions League. Dua hii inakuja baada ya Yanga kufuzu hatua ya makundi kwa msimu wa pili mfululizo, ikifanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kwa mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili. Uliocheza jana Septemba 21, Visiwani Zanzibar
Kumhusisha Allah kwenye mambo ya kipuuzi ni matumizi mabaya ya imani ya Kiislam.
 
Mabinti wakiwa mid 20's wanachagua sana wanaume ila umri ukishaenda wanabebwa na yoyote. Uto Africa ni kama binti anayechipukia, wanaume wanamtazama alivyo na madaha tu. .
 
Hapo kachungulia kaona kuna Al Ahly, Esperance na Mazembe, kwa nini usiombee Mamelodi?

Ngoja mpangiwe Mamelodi, MC Alger na Al Hilal. Nitacheka saaana.
Hakuna timu Yanga inaweza kuihofia.
 
Ila twende mbele turudi nyuma kwa mpira wanaocheza yanga timu yoyote ikija vibaya inaweza kufa nyingi....kilichotokea belouizdad FC hawakukitegemea.
 
Yanga ya sasa sio timu ya kupigia ramli au sio timu ya bahati nasibu, wamekamilika na wanajibeba wao wenyewe, kwaiyo unapoongea uwe tiyali kuendelea kupata maumivu day to day ilimradi isije tu ukajinyonga!

Hakuna timu Yanga inaweza kuihofia.
Msipojifunza kuuheshimu mpira mtaendelea kukwama. Naomba niishie hapo kwa Leo.
 
Back
Top Bottom