Ally Kamwe chukua tahadhari, Manara kuhamasisha gemu ya Yanga vs TP Mazembe ni udhaifu wako kiutendaji, usiruhusu hilo

Ally Kamwe chukua tahadhari, Manara kuhamasisha gemu ya Yanga vs TP Mazembe ni udhaifu wako kiutendaji, usiruhusu hilo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Wewe ndio afisa habari wa Yanga, wewe ndio unatakiwa upite kwenye media zote ushawishi wanaYanga waende disband kuishangilia Yanga mwanzo mwisho, kazi hiyo unaiweza vizuri sana.

Wewe umeaminiwa na taasisi kubwa ya michezo nchini, Yanga, wananchi wanakukubali sana wewe.

Wakati wanaYanga wanajiuliza nani semaji baina yako na Manara wananchi walikuwa pamoja na wewe mwanzo mwisho.

Gusa achia twende kwao ni wewe ndio umeifanya kazi hiyo hadi bendi za muziki nazo zinaimba.

Sasa hivi wewe una followers wengi kutokana na wananchi kukuelewa sana ndugu yangu.

Lakini hili la kumruhusu Manara akusemee kwenye media zote ahamasishe watu kwenda uwanjani huku kesho akienda Wasafi kuhamasisha, u napoteza mvuto kaka.

Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?

Wengi watashindwa kwenda uwanjani kwa sababu huyo zungu pori akihamasisha na watu wakijaa uwanjani badala ya kupongeza mashabiki na wenzake kwa kazi kubwa walioifanya, anaanza kujisifia yeye kuwa ndio amejaza watu uwanjani.

Jiandae kaka huo ni mwanzo, anytime huyo mwarabu wa nguruka atachukua nafasi hiyo.
 
Kumbe ndo ivyo?

Ndo Maana inaelezwa Ahmed Ally ndo 'most Valuable' msemaji hadi Sasa na hakuna wa kumuweza kwa Wasemaji Waliopo kwa sasa.!

Simama dogo Kamwe usitake braza akushikilie...!
 
Kumeanza kuchangamka.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Huyo mtu Hana kazi pale yanga anaforce tu sisi tunamtambua Ali kamwe Kama msemaji wa yanga na afisa habari
 
Kumbe ndo ivyo?

Ndo Maana inaelezwa Ahmed Ally ndo 'most Valuable' msemaji hadi Sasa na hakuna wa kumuweza kwa Wasemaji Waliopo kwa sasa.!

Simama dogo Kamwe usitake braza akushikilie...!
😀😀😀👎👎👎👎
 
Mimi ni mnyama damu. Nasema hivi, kama wamekubaliana iwe hivyo, hakuna shida yoyote, yawezekana Ally Kamwe ameona upungufu wake ulipo, au yawezekana anaumwa, kikubwa kazi iendelee. Lakini kama Manara angekuwa anafanya bila ridhaa ya mwenye jukumu lake, pengine kwa mbali ningeweza kuona labda kuna shida
 
Wewe ndio afisa habari wa Yanga, wewe ndio unatakiwa upite kwenye media zote ushawishi wanaYanga waende disband kuishangilia Yanga mwanzo mwisho, kazi hiyo unaiweza vizuri sana.

Wewe umeaminiwa na taasisi kubwa ya michezo nchini, Yanga, wananchi wanakukubali sana wewe.

Wakati wanaYanga wanajiuliza nani semaji baina yako na Manara wananchi walikuwa pamoja na wewe mwanzo mwisho.

Gusa achia twende kwao ni wewe ndio umeifanya kazi hiyo hadi bendi za muziki nazo zinaimba.

Sasa hivi wewe una followers wengi kutokana na wananchi kukuelewa sana ndugu yangu.

Lakini hili la kumruhusu Manara akusemee kwenye media zote ahamasishe watu kwenda uwanjani huku kesho akienda Wasafi kuhamasisha, u napoteza mvuto kaka.

Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?

Wengi watashindwa kwenda uwanjani kwa sababu huyo zungu pori akihamasisha na watu wakijaa uwanjani badala ya kupongeza mashabiki na wenzake kwa kazi kubwa walioifanya, anaanza kujisifia yeye kuwa ndio amejaza watu uwanjani.

Jiandae kaka huo ni mwanzo, anytime huyo mwarabu wa nguruka atachukua nafasi hiyo.
Yanga wakiungana kwenye kuhamasishana kuna shida gani?
Nyie watu mbona mnakuwa na ufinyu wa akili kiasi hicho? Unataka kutwambia kwamba zaidi ya Ali Kamwe au zaidi ya viongozi wengine wa Yanga mtu mwingine yeyote haruhusiwi kuhamasisha watu kwenda uwanjani? Unajielewa kweli wewe?
 
Mbona hakuna ubaya si ote ni yanga mbona hata huku mtaani kuna wasemaji
 
Wewe ndio afisa habari wa Yanga, wewe ndio unatakiwa upite kwenye media zote ushawishi wanaYanga waende disband kuishangilia Yanga mwanzo mwisho, kazi hiyo unaiweza vizuri sana.

Wewe umeaminiwa na taasisi kubwa ya michezo nchini, Yanga, wananchi wanakukubali sana wewe.

Wakati wanaYanga wanajiuliza nani semaji baina yako na Manara wananchi walikuwa pamoja na wewe mwanzo mwisho.

Gusa achia twende kwao ni wewe ndio umeifanya kazi hiyo hadi bendi za muziki nazo zinaimba.

Sasa hivi wewe una followers wengi kutokana na wananchi kukuelewa sana ndugu yangu.

Lakini hili la kumruhusu Manara akusemee kwenye media zote ahamasishe watu kwenda uwanjani huku kesho akienda Wasafi kuhamasisha, u napoteza mvuto kaka.

Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?

Wengi watashindwa kwenda uwanjani kwa sababu huyo zungu pori akihamasisha na watu wakijaa uwanjani badala ya kupongeza mashabiki na wenzake kwa kazi kubwa walioifanya, anaanza kujisifia yeye kuwa ndio amejaza watu uwanjani.

Jiandae kaka huo ni mwanzo, anytime huyo mwarabu wa nguruka atachukua nafasi hiyo.
Nyie wajinga so hivi bila kuhamasihswa maana yake viti vitakuwa tupu? kuna mashabiki hapa au uswahili? Hii nchi ina uswahili mkubwa sana.

Kwamba mashabiki wanahitaji busta ili waende uwanjani?

Hao sio mashabiki ni wajinga fulani tu, hakuna shabiki hapo, hakuna shabiki serious anaye hamasishwa. hao ni waswahili
 
Ally Kamwe ni msemaji mzuri ila sio muhamasishaji mzuri. Manara sio msemaji mzuri ila ni muhamasishaji mzuri sana. Hapo kilichoangaliwa ni kuujaza uwanja bila kujali tofauti au makundi
Dunaini kote shabiki anaenda uwanjani kwa mapenzi yake kwa timu
acheni uswahili, Taifa limejaa waswahili sana sijui lini watapungua.

Kuhamaisha eti shabiki aende uwanjani ni ujinga.
 
Ally Kamwe ni msemaji mzuri ila sio muhamasishaji mzuri. Manara sio msemaji mzuri ila ni muhamasishaji mzuri sana. Hapo kilichoangaliwa ni kuujaza uwanja bila kujali tofauti au makundi
Umeeleza vizuri sana mkuu 🤝
 
Wewe ndio afisa habari wa Yanga, wewe ndio unatakiwa upite kwenye media zote ushawishi wanaYanga waende disband kuishangilia Yanga mwanzo mwisho, kazi hiyo unaiweza vizuri sana.

Wewe umeaminiwa na taasisi kubwa ya michezo nchini, Yanga, wananchi wanakukubali sana wewe.

Wakati wanaYanga wanajiuliza nani semaji baina yako na Manara wananchi walikuwa pamoja na wewe mwanzo mwisho.

Gusa achia twende kwao ni wewe ndio umeifanya kazi hiyo hadi bendi za muziki nazo zinaimba.

Sasa hivi wewe una followers wengi kutokana na wananchi kukuelewa sana ndugu yangu.

Lakini hili la kumruhusu Manara akusemee kwenye media zote ahamasishe watu kwenda uwanjani huku kesho akienda Wasafi kuhamasisha, u napoteza mvuto kaka.

Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?

Wengi watashindwa kwenda uwanjani kwa sababu huyo zungu pori akihamasisha na watu wakijaa uwanjani badala ya kupongeza mashabiki na wenzake kwa kazi kubwa walioifanya, anaanza kujisifia yeye kuwa ndio amejaza watu uwanjani.

Jiandae kaka huo ni mwanzo, anytime huyo mwarabu wa nguruka atachukua nafasi hiyo.
Yani huyu baba Jamani 😅
 
Ally Kamwe ni msemaji mzuri ila sio muhamasishaji mzuri. Manara sio msemaji mzuri ila ni muhamasishaji mzuri sana. Hapo kilichoangaliwa ni kuujaza uwanja bila kujali tofauti au makundi
Una akili nyingi...



...Ni Hayo Tu!!!
 
Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?
Acha kumsimanga kijana wa watu, alishatoa tamko kitambo sema tu Manara anataka mechi iitwe mzungu day ilhali Kamwe akishafuta hizo hamasa baada ya Dube day kubumba.

Ali Kamwe keshajirudi ila Manara anaitaka nafasi yake
 

Attachments

  • 1735754429569.jpg
    1735754429569.jpg
    210.5 KB · Views: 5
Wewe ndio afisa habari wa Yanga, wewe ndio unatakiwa upite kwenye media zote ushawishi wanaYanga waende disband kuishangilia Yanga mwanzo mwisho, kazi hiyo unaiweza vizuri sana.

Wewe umeaminiwa na taasisi kubwa ya michezo nchini, Yanga, wananchi wanakukubali sana wewe.

Wakati wanaYanga wanajiuliza nani semaji baina yako na Manara wananchi walikuwa pamoja na wewe mwanzo mwisho.

Gusa achia twende kwao ni wewe ndio umeifanya kazi hiyo hadi bendi za muziki nazo zinaimba.

Sasa hivi wewe una followers wengi kutokana na wananchi kukuelewa sana ndugu yangu.

Lakini hili la kumruhusu Manara akusemee kwenye media zote ahamasishe watu kwenda uwanjani huku kesho akienda Wasafi kuhamasisha, u napoteza mvuto kaka.

Kipi kimekufanya ushindwe kwenda kwenye media kuhamasisha na umemuachia zungu pori?

Wengi watashindwa kwenda uwanjani kwa sababu huyo zungu pori akihamasisha na watu wakijaa uwanjani badala ya kupongeza mashabiki na wenzake kwa kazi kubwa walioifanya, anaanza kujisifia yeye kuwa ndio amejaza watu uwanjani.

Jiandae kaka huo ni mwanzo, anytime huyo mwarabu wa nguruka atachukua nafasi hiyo.
Makolo mnamchukia sana manara mataka ateseke,ila mwenzako ndi hivyo anakula maisha,Bugatti piga kazi wananchi tunakuamini.
 
Back
Top Bottom