Ally Kamwe chukua tahadhari, Manara kuhamasisha gemu ya Yanga vs TP Mazembe ni udhaifu wako kiutendaji, usiruhusu hilo

Ukubali ukatae Manara pekee, narudia manara pekee ndiye mhamasishaji bora wa wakati wote.

Manara ameongeza sana hamasa ya mpira nchini.
Uache unafiki kijana
 
Lengo ni kuhamasisha watu waende uwanjani, awe kamwe, manara au mtu yoyote ikibidi waongezeke watu waende kwenye media zingine kufanya hamasa nyingi iwezekanavyo, watu wakijaa mapato yataongezeka club itapata faida.Hizo personal issues si muhimu.
 
Wote waongee tu maana hawana chochote kinachoweza kuidhuru timu yetu, tunategemea sana benchi la ufundi.
 
Haji mzee wa fitna anazeeka vibaya
 

Attachments

  • FB_IMG_1713799997765.jpg
    53.3 KB · Views: 4
Dunaini kote shabiki anaenda uwanjani kwa mapenzi yake kwa timu
acheni uswahili, Taifa limejaa waswahili sana sijui lini watapungua.

Kuhamaisha eti shabiki aende uwanjani ni ujinga.
Kwahiyo Yanga haina wapenzi wa kwenda uwanjani? Maana hata Yanga iwe inafanya vizuri kwenye performance bado unaona kabisa uwanja haujai. Usilinganishe na nchi za wenzetu huko, soka la Tanzania limejaa hamasa ya ushawishi ukiacha na matokeo ya uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…