Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Sisi waislam tumefundishwa kuwa alama za mtu mnafiki ni tatu, kwanza akisema hatekelezi, Pili ahadi zake za uongo.
Ally Kamwe ameingiza tena mjini wanachama na mashabiki wa Utopolo kuwa timu yake inaleta kiungo namba 6 ambaye hajawahi kutokea!
Hi kuna namba 6 pale Yanga aliewahi kumzidi Marehem Method Mogella Fundi? Kuna namba 6 Yanga aliewahi kumshinda marehemu Issa Athuman? Kulikuwa na Geofrey Bonny, huyo anayemtaja yeye ni kutafuta Kiki tu.
Kumbukeni watu wa Utopolo walihamanika kishenzi alipowaambia kuwa kuna beki la CHAN limekuja Jangwani, watu wakaamini lkn mwishowe beki la CHAN likaishia kukaa benchi msimu wote huku sana sana likipangwa kwenye mechi za kirafiki na zile za kumalizia msimu ambapo Utopolo walishatawazwa mabingwa.
Beki la CHAN Mamodou Doumbia likaishia kubeba mifuko ya simenti kama kawaida yao Utopolo wakidai wanatoa kwa jamii.
Leo wanadanganya kwenye mkutano mkuu wa kujadili masuala nyeti ya klabu na kuwatoa mchezoni wale wanachama werevu kuwa kuna mido namba 6 anaingia nchini na hajawahi kutokea, eti it is unprecedented.Pumbavu kabisa.
Ally Kamwe ameingiza tena mjini wanachama na mashabiki wa Utopolo kuwa timu yake inaleta kiungo namba 6 ambaye hajawahi kutokea!
Hi kuna namba 6 pale Yanga aliewahi kumzidi Marehem Method Mogella Fundi? Kuna namba 6 Yanga aliewahi kumshinda marehemu Issa Athuman? Kulikuwa na Geofrey Bonny, huyo anayemtaja yeye ni kutafuta Kiki tu.
Kumbukeni watu wa Utopolo walihamanika kishenzi alipowaambia kuwa kuna beki la CHAN limekuja Jangwani, watu wakaamini lkn mwishowe beki la CHAN likaishia kukaa benchi msimu wote huku sana sana likipangwa kwenye mechi za kirafiki na zile za kumalizia msimu ambapo Utopolo walishatawazwa mabingwa.
Beki la CHAN Mamodou Doumbia likaishia kubeba mifuko ya simenti kama kawaida yao Utopolo wakidai wanatoa kwa jamii.
Leo wanadanganya kwenye mkutano mkuu wa kujadili masuala nyeti ya klabu na kuwatoa mchezoni wale wanachama werevu kuwa kuna mido namba 6 anaingia nchini na hajawahi kutokea, eti it is unprecedented.Pumbavu kabisa.