Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break. Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break. Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Alichukuliwa na GSM sio Yanga.
Na tajiri hanuniwi, tumeyaona haya hata kwa Madunduka na mlio wao wa ng'ombe.
Ninachokijua mpo nae sasa hivi kama shabiki mwenzenu na muhamasishaji wenu.

Hata utambulisho aliofanyiwa alifanyiwa kama mfanyakazi wa Yanga sio Gsm.

Yote kwa yote aliyoongea kuhusu nyinyi mnaonesha mlikubaliana nae ndio maana mkampokea.
 
Simba na Yanga kutaniana tania ni jadi,wala sio serious issue ni kutaniana tu,haimaaniishi chochote,
Utani una limits zake huwezi ukamtukana baba yako alaf unasema n utan, utan gan huoo au uwe na utan na MTU AF akushike makalio ndio utajua n utan gan huo
 
Back
Top Bottom