Ally Kamwe mshukuru Mungu kafara lilikuwa lako hilo

Nasikia umezimia, pole sana, watu walikuwa wanatafuta ushindi ndugu yangu na ww ndio ulikuwa mwenye nyota ya ushindi.
Kwanini nyie jamaa mnaamini sana ushirikina? Ninyi hata mkimuona kamanda Jumanne Murilo au Mwana FA huwa mawazo yenu yote huenda kwenye ushirikina. Mkienda uwanjani badala ya kufuatilia burudani ya mpira, ninyi muda wote mnaangaza macho huku na kule kutafuta njowa weusi na weupe watakaopita ili muwahusisishe na ushirikina.
Kwa kifupi ninyi kwenye huu mchezo na haya matukio huwa mnaenda kama waganga wanatafuta washirikina wenzao.
 
Katika mizuzu ya hili jukwaa hili jamaa ni nambari Moko..
Vip lakini zile barua ulizotuma Kwa viongozi wa belouzdad walizisoma manake naona matokeo tofauti na barua zako na mrejesho hautupi..
 
Nasikia umezimia, pole sana, watu walikuwa wanatafuta ushindi ndugu yangu na ww ndio ulikuwa mwenye nyota ya ushindi.
Mods mnatukosea Sana kuacha threads za uzushi na uchochezi kama hii kuexist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…