Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
😂😂Nimefurahi kuona hawa vijana wawili ambao wameaminiwa kuwa wasemaji wa club kubwa kama Simba na Yanga wapo pamoja Studio na kipindi kinaendeshwa vizuri.
Sasa pata picha hapo angekuwepo yule mjuwaji mzungu pori angetaka yeye aonekane ndio bora na ujuwaji mwingi na hii show angeharibu.
Hongera kizazi kipya Ally Kamwe na Ahmed Ally, húyu mzungu pori tunamkàribisha aje jumuiya ya wazazi ccm.
Ukiona Kitabu hukielewi juwa hujaandikiwa wewe.umeandika kama vile nasisi tupo tuna angalia hio yutivii
Weka picha acha ujuajiUkiona Kitabu hukielewi juwa hujaandikiwa wewe.
kumbe hii thread umemwandikia baba ako au huyo ukiemlenga siungemtumia sms mkajadili wawili huko hukoUkiona Kitabu hukielewi juwa hujaandikiwa wewe.
Nafikiri unataka kupigwa mashine wewe mtoto, my parents ni out of this, my Father is in heaven usirudie tena huu usenge.kumbe hii thread umemwandikia baba ako au huyo ukiemlenga siungemtumia sms mkajadili wawili huko huko
Hii Mpaka leo bado ímewavuruga akili wanaílazimisha furaha kupitia Tabora.Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152489
Kwakweli JF imevamiwa na mamishangaziNafikiri unataka kupigwa mashine wewe mtoto, my parents ni out of this, my Father is in heaven usirudie tena huu usenge.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152489
Hii Mpaka leo bado ímewavuruga akili wanaílazimisha furaha kupitia Tabora.
Haji Manara hajaifanyia lolote la maana Yanga sana sana ameiletea fedheha kwa kuwakuwadia wachezaji wake nyota mademu na kuwafundisha kuvuta shisha hadi kuathiri viwango vyao. Siku ya Mwananchi aliwakera sana wanayanga kwa kuingiza mbwembwe za kijinga na kuvuruga ratiba kwa nia ya kujijenga yeye binafsi. Huyu abakie tu kuwa mwanachama na shabiki wa Yanga japo akilewa anaiponda.Aisee.....Yanga mmefikia hatua hiyo aisee?....mmesahau mema aliyowatendea huyo jamaa?