Ally Kamwe na Ahmed Ally wanashine UTV, Manara byebye

Ally Kamwe na Ahmed Ally wanashine UTV, Manara byebye

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152489
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Utopolo na Makolokolo ni legasi ya Manara,

Hadi kesho, sisi washabiki tunaitumia hiyo misemo! Na imekuwa nembo za utani wa Simba na Yanga

Pia usisahau msemo wa " Yanga wenye akili ni Kikwete na Sunday Manara!"
Msemo ambao ni nembo ya mashabiki wa Simba

Falsafa ya Manara ktk uafisa habari Ilikuwa Ni Habari na utani wa KUKERAA
Na sisi washabiki tulikuwa tunasema "Manara Wakereee!

Alipokuwa Simba aliwakera Sana yanga
Alipokuwa Yanga aliwakera Sana Simba

Maadam amewakera pande zote, Simba na yanga
Na maadam watanzania wote ni Simba na Yanga,
Manara ametengeneza vidonda pande zote na amejikuta amechukiwa na wengi, ukiwemo wewe mleta mada

Manara ana legasi kubwa ktk tasnia ya usemaji wa Club
Hao wasemaji wa Sasa unao wasifia wafuatilie vizuri, utagundua nao wanafuata falsafa ileile ya Manara ya Uafisa habari wa kukera!
Wafuatilie vizuri utagundua!

Hata hii nyuzi yako inaonesha jinsi Manara alivyoteka anga la habari za Michezo Tanzania

Ila nikukumbushe, kila lenye mwanzo Lina mwisho!
Labda Sasa, jua la Manara linazama! Ni kawaida kwenye maisha,
Walipita wasemaji wengi Simba na Yanga na waliondoka, na Sasa si ajabu Manara kuondoka!
Usimtazame Manara kanakwamba alikuwa na haki ya kudumu kwenye kitengo Cha usemaji milele

Hao wasemaji wa Sasa nao wataondoka

Hata wewe mshabiki utaondoka na watakuja washabiki wengine!
 
Back
Top Bottom