Ni sawa, lakin huwezi kuwa bingwa pasi na kumfunga bingwa!Hii siyo vipers mzee
Ndio mkuu.Kwa wachezaji hawa mlio nao
Nenda Internet cafe utasaidiwaHello nashindwa kuweka profile picture kwenye ajira portal, kila nikiselect picture ina load tu haiji kwenye boksi husika ili niweze kusave.
Nifanyeje hapo wakuu ?
Kwanza ndio nimelisikia kwako [emoji23] nipe maanaMkuu.....Kwani maana yake nn
ikitokea wameshiriki mwakani,hizi kauli zitabadilika?Akili hana..View attachment 2599377
Lakini wote wanazingumziana, hata msemaji wa Simba yaleyale, na bila kupeana maneno mpira haunogi Kwa hapa TZ. Si unaona tunavyoshiriki kutoa hoja [emoji23]Kapumbavu haka katoto,kwani kila kakiwa mbele ya mic ni kuizungumzia Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo umekosea Uzi ila acha nikusaidieHello nashindwa kuweka profile picture kwenye ajira portal, kila nikiselect picture ina load tu haiji kwenye boksi husika ili niweze kusave.
Nifanyeje hapo wakuu ?
Dah kweli nchi ngumu, msela kaja kulalamika kwenye uzi wa watani.Hello nashindwa kuweka profile picture kwenye ajira portal, kila nikiselect picture ina load tu haiji kwenye boksi husika ili niweze kusave.
Nifanyeje hapo wakuu ?
Haka kajamaa kama vinasaba vya kichokoo“Nimesikia maneno maneno yameanza, sijui Kombe dogo, sijui vipi, sisi ambao tumesoma sana Dini hiyo ni ishara ya mwanadamu anayeelekea Sakaratul Maut, yaani mwanadamu anaelekea kwenye siku zake za mwisho, Pumzi yake ya mwisho.
“Tukawatazama tukasema hee mashindano haya si ndio mlichoma uwanja nyie, mashindano haya yaliwapa goli bora wakalala wiki nzima wanalizungumzia tukasema hii dalili ya Sakaratul Maut.
“Kila mtu amalize shughuli aliyoianza walianza shughuli yao na Mwarabu wamalizane nao, tumeanza na Mnigeria tutamalizana nao tusizungumziane.
“Kombe dogo sijui kubwa ni la kwetu, kila mtu acheze Kombe lake, hili Kombe la Shirikisho ni la kwetu na tutalibeba,”
Afisa Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.
#WasafiSports
NB: Wanasimba tuloge sana siku isifike coz ...tukitaka tutapigwa ....tusipotaka tutapigwa[emoji23]View attachment 2599322
Nyie mlio na akili msingechoma moto SAAkili hana..View attachment 2599377
Tulikuwa tunaota moto kabla ya mechi kuanza, baridi la SA hatujalizoea..Nyie mlio na akili msingechoma moto SA
Ila we utopolo toka uanzishwe hujawahi kufika hata robo CAF CHAMPION LEAGUEMbu mbu mbu ... Mwendo wameumaliza. Kombe lao ni robo fainal