EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Bingwa? Ukimlinganisha na nani? Bongo ukiangalia mpira ushakuwa MCHAMBUZI nguli.Kumbuka alikuwa mchambuzi bingwa kabla ya kuwa officer habar
Labda awe BICHWA MBUZI lakini sio mchambuziHapana mkuu ..huyu ni mchambuzi by professional
Huwezi kuwa bingwa bila kuwa bora, ninyi sio bora kule Casablanka.Ni sawa, lakin huwezi kuwa bingwa pasi na kumfunga bingwa!
Asamehewe tu huyu si kosa lake, nilimsikia mtu anasema eti alizaliwa kabla ya wakati (eti ni njiti) inawezekana hata akili zilikuwa hazijakamilikaKapumbavu haka katoto,kwani kila kakiwa mbele ya mic ni kuizungumzia Simba
Sijakataa uofisa wake lakini anavyobana pua akiongea anavutia sanaOfficer Bora huyo mzee
Hello nashindwa kuweka profile picture kwenye ajira portal, kila nikiselect picture ina load tu haiji kwenye boksi husika ili niweze kusave.
Nifanyeje hapo wakuu ?
Haka kajamaa kama vinasaba vya kichokoo
Ally Komwe.. kamwe hawezi kuwa na akili“Nimesikia maneno maneno yameanza, sijui Kombe dogo, sijui vipi, sisi ambao tumesoma sana Dini hiyo ni ishara ya mwanadamu anayeelekea Sakaratul Maut, yaani mwanadamu anaelekea kwenye siku zake za mwisho, Pumzi yake ya mwisho.
“Tukawatazama tukasema hee mashindano haya si ndio mlichoma uwanja nyie, mashindano haya yaliwapa goli bora wakalala wiki nzima wanalizungumzia tukasema hii dalili ya Sakaratul Maut.
“Kila mtu amalize shughuli aliyoianza walianza shughuli yao na Mwarabu wamalizane nao, tumeanza na Mnigeria tutamalizana nao tusizungumziane.
“Kombe dogo sijui kubwa ni la kwetu, kila mtu acheze Kombe lake, hili Kombe la Shirikisho ni la kwetu na tutalibeba,”
Afisa Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.
#WasafiSports
NB: Wanasimba tuloge sana siku isifike coz ...tukitaka tutapigwa ....tusipotaka tutapigwa[emoji23]View attachment 2599322
Ila wewe hahhahh..hapo mdomo umenywea