Pre GE2025 Ally Keissy asema atagombea Ubunge mwakani kwa sababu Mbunge wa CHADEMA hakuna alichofanya

Pre GE2025 Ally Keissy asema atagombea Ubunge mwakani kwa sababu Mbunge wa CHADEMA hakuna alichofanya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.

Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.

Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.

Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.

Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.

Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa Bungeni
Screenshot_20241003-124322_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.

Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.

Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.

Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.

Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.

Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa BungeniView attachment 3114042

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


Kwani miaka 15 aliyokaa bungeni haimtoshi .?

Na je kwa umri wake 70+ ataweza harakati za uchaguzi ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.

Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.

Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.

Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.

Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.

Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa BungeniView attachment 3114042

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Akirudia huyu bwana na Wajumbe wakampotisha basi huyo Mbunge wa Chadema atashinda tena Kwa kishindo.

Ikumbukwe Kessy alishindwa Ubunge kutokana na tabia yake ya kutukana watu,dharau na ubabe hivyo watu waliamua kumkomoa.

Njia pekee ya CCM kushinda Ubunge huko Nkasi ni kuleta mgombea mbadala ambae sio Kessy na kuua makundi Yao.
 
Mkumbushe Ally Kessy kwamba hata yeye alikuwa Mbunge hapo Nkasi Kwa zaidi ya vipindi viwili ama vitatu, lakini haikuweza kutatua kero zote za Wananchi.

Huwezi kumaliza kero zote Kwa Siku Moja.

Maendeleo ni hatua
 
Mkumbushe Ally Kessy kwamba hata yeye alikuwa Mbunge hapo Nkasi Kwa zaidi ya vipindi viwili ama vitatu, lakini haikuweza kutatua kero zote za Wananchi.

Huwezi kumaliza kero zote Kwa Siku Moja.

Maendeleo ni hatua
Kama mnajuwa kuwa maendeleo ni hatua kwanini sasa huwa mnataka Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amalize kero zote kwa muda huu mfupi aliokaa madarakani?
 
Mkumbushe Ally Kessy kwamba hata yeye alikuwa Mbunge hapo Nkasi Kwa zaidi ya vipindi viwili ama vitatu, lakini haikuweza kutatua kero zote za Wananchi.

Huwezi kumaliza kero zote Kwa Siku Moja.

Maendeleo ni hatua
Mbona nyie Machadema yule Babu yenu Sugu amekuwa Mbunge Kwa miaka 10 hakuna Cha maana amefanya na anataka kugombea tena? 😁😁
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.

Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.

Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.

Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.

Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.

Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa BungeniView attachment 3114042

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa zilizokuzaa ni heri zingemwagwa chooni tu
 
Back
Top Bottom