mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Ndugu yangu Ally Kiba nakushauli uache kupiga muziki.hakika muziki ni kazi ya shetani.Kuna kazi nyingi za kufanya ambazo zinampendeza Mnyaazi,Umaarufu huu wa duniani hautokufaa kesho akhera.anayejisikia kutukana atukane
Hivi huko shuleni hua mnaenda kusomea ujinga....[emoji34] [emoji34]Ndugu yangu Ally Kiba nakushauli uache kupiga muziki.hakika muziki ni kazi ya shetani.Kuna kazi nyingi za kufanya ambazo zinampendeza Mnyaazi,Umaarufu huu wa duniani hautokufaa kesho akhera.anayejisikia kutukana atukane
Ndugu yangu Ally Kiba nakushauli uache kupiga muziki.hakika muziki ni kazi ya shetani.Kuna kazi nyingi za kufanya ambazo zinampendeza Mnyaazi,Umaarufu huu wa duniani hautokufaa kesho akhera.anayejisikia kutukana atukane
Akishaacha mziki afanye shughuli gani? Utamlisha wewe shakhee
[emoji23] [emoji23] [emoji23]haya tuma salamu kwa watu sita.
cc faiza foxyHivi huko shuleni hua mnaenda kusomea ujinga....[emoji34] [emoji34]
HIVI WEWE MDUNDO NGOMA SANA MBONA LEO UNAWASHWA HIVYO ALIYEKUAMBIA JF NI KANISA AU MSIKITI NI NANI! FUNGUA FORUM YAKO UANZE KUHUBIRI.JINA LAKO KWANZA NI LA KISHETANI, MAWAZO YAKO YOTE NI WIVU TUNdugu yangu Ally Kiba nakushauli uache kupiga muziki. Hakika muziki ni kazi ya shetani. Kuna kazi nyingi za kufanya ambazo zinampendeza Mnyaazi, umaarufu huu wa duniani hautokufaa kesho akhera.
Hahaaaa umenichekesha mkuu sijwahi kuhesabu hizo karanga japo nashangaa zinaisha mapema kumbe ziko9??Wewe ndio ibirisi kabisa unasema alikiba aache mziki sabab ni kazi ya ahetani inamana wengine waendelee Na kazi ya shetani!!! Sema jamani watanzaia tuache anasa za mziki sio kumwangalia mtu mmoja alaf wewe umetumwa Na Karanga 9 sh 300