brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
- Thread starter
-
- #21
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukikiona cha nini wenzako wanaumiza kichwa watakipataje!? Hata hivyo kama kuna mahakama ya kuwashkati mashabiki wake twende mkuu ukatufungulie kesi upate haki yako kabisaa kijiba chako kitulie
[emoji57] [emoji57][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AiseeWe una umri gani?mziki umeanza kufuatilia lini?hebu muulize huyo diamond akutajie watu waliomshika mkono kabla hajawa huyu unaemuona leo,nyie watoto mnatusumbua sana humu kila kukicha mnaleta utoto.
AiseeHivi kwanini asiwe, belle 9,mrisho mpoto, dogo janja, madee, young d, nikki wa pili, tunda man, kassim mganga, y tony na wengine wengi ila iwe Alikiba tu??? Je huyu ndo hajui kuimba kuliko hao wengine wote au ni vice versa, mtu humchangii mchango wa kuingia studio, kufanya video ila unakuwa kihelehele km cha kwanza, alafu unakuta mleta mada ni mwanaume mwezie kabisa, nyie ndo mnafanya wanaume wa dar wanasemwa kwakuwa mna mambo ya kike kabisa
Kuwahi ku shine sio tatizo ni kama leo hii umlinganishe mrisho ngasa na mbwana sammataWewe mtoa uzi humjui kiba ww.. kiba kaanza kuimba na kushaini kabla ya mondi... sasa kat ya kiba na mondi nan anatembelea nyota ya mwenzio
Inaonesha n jinsi gan kiba almfundsha dogo mziki na hvo mwl kuendelea kubamba kulko mwanafunzi... kiufupi kiba anajua na anaweza mziki kulko uyo anaetoa nyimbo na kuchuja ndan ya wiki mojaKuwahi ku shine sio tatizo ni kama leo hii umlinganishe mrisho ngasa na mbwana sammata
Aya bhana mkuu inaonekana hutaki mchezo kabisaKiba utabaki kuwa mwalim.. na ata iweje na usome ad level gani mwalim wako n mwalim wako tu
Tatizo la hawa wakuu wanabisha kitu ambacho kiko wazi. Kiba huwez kimfananisha na uyu kkmziki. Kiba yuko juu, n mwalim, n mfalme wa mziki, hana papara wala mbwembwe kwny kaziAya bhana mkuu inaonekana hutaki mchezo kabisa
Mfalme anakaa kwao? Hayo ndo mafanikio?Tatizo la hawa wakuu wanabisha kitu ambacho kiko wazi. Kiba huwez kimfananisha na uyu kkmziki. Kiba yuko juu, n mwalim, n mfalme wa mziki, hana papara wala mbwembwe kwny kazi
Kibongo bongo tunamwita mfalme uchwaraMfalme anakaa kwao? Hayo ndo mafanikio?
Mwenzake kaanza juzi ana
Nyumba
Office
Na anamiliki lebal yake wcb
Tuzo zaidi ya 20 za kimataifa hadi mtv world wide bado grammy