Ally Kiba amjibu baba Abdul Naseeb

Kwani kadisiwa insta ama studio (wimbo)? kama studio nayeye azame studio alipize disi mbona kawaida tu hata mbere kina Remy Ma na Nicki wanadisiana sembuse yeye? Asijibu insta azame studio naye adis ndio tutamuelewa. au anaogopa maiki?
 
Alikiba ni kichwa maji sana badala adondoshe wimbo muda huu amepewa support na Mond yeye ana kalia kujiita King utafikiri uking unaliwa ....
King Kiba badilika una wasononesha mashabiki wako....
kibakuli kichwa maji sana.
 
HATIMAYE!
angalau naye anaanzishiwa thread!
 
YANI BADALA ATUMIE FURSA ANABAKIA KUJIKINGISHA!

king yenyewe ya draft!
 
Kwa Umbea Huu, Tanzania Ya Viwanda Tutaishia Tu Kuisikia Kwa Nabii Magumashi Na Wainjilisti Wake, Lakini Kamwe Haitotoke. EMMANCIPATE URSELF FROM MENTAL SLAVERY, NONE BUT URSELF CAN FREE UR MIND [\B]


 
Kwani kadisiwa insta ama studio (wimbo)? kama studio nayeye azame studio alipize disi mbona kawaida tu hata mbere kina Remy Ma na Nicki wanadisiana sembuse yeye? Asijibu insta azame studio naye adis ndio tutamuelewa. au anaogopa maiki?
halafu huwa ana wadanganya mashabiki wake kuwa yeye ni mpole....kumbe ni mnafiki na ana gubu la ndani kwa ndani hahaha King Kiba leo kaongea.........
 
Ivi katajwa eeh! Au jiwe gizani kilamtu apambane na mziki wake.
Bila Diamond hampati kiki za ku release vijimbo vyenu maana kwa mwandiko wake huo kuna kajimbo ka kuishia kibaha kanakuja[emoji23][emoji23][emoji23] team stress am soreeeeee
Kwani nani kalianzisha?Shobo kaanzisha diamond!!!!Hata Kiba mwenyewe hajataja mtu!
 
Ime editiwa iyo si kweli Kiba hanaga ujinga huo ka post picha ila maneno hayo hayapo

Pitia account yake ya instagram, angekuwa wa Masaki sawa lakini Kariakoo na Tandale kote waswahili tu
 
YANI BADALA ATUMIE FURSA ANABAKIA KUJIKINGISHA!

king yenyewe ya draft!
U turn,sasa ni zamu ya mondi kutafuta kiki kwa king Kiba!
Wala Kiba alikuwa hana habari naye,kajishobokesha mwenyewe kumuimba!Sasa hapo utasema Kiba ndio mtafuta kiki?
Mondi ashafikia kiwango cha mwisho cha mziki!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…