Vyanzo vya habari; XXL ya Clouds FM na www.bongo123.com. Mwanamuzik wa kizaz kipya Ally Kiba ameweka wazi malipo anayolipwa kwa show moja ya hapa bongo na pia kwa show moja ya nje ya Afrika.
Akilonga katka kipind cha XXL kinachoongozwa na B Dozen na badaye katka mahojiano na www.bongo123.com, mwanamuziki huyo amesema analipwa sh Mil 8 kwa kila show anayofanya hapa bongo na kutoa ushahd kuwa waulzwe global publishers walimlipa kias gan ktk show aliyoifanya cku ya Eid pala Dar Live, na pia analipwa pesa zipatazo Mil 12 kwa kila show anayofanya Ulaya na America ambazo amedai show hzo ni nyng mno. Amedai kuanzia mwez ujao wa 9 mpaka wa 12 ana booking ya show 8 za Afrika Kusin na Ulaya.
Alipoulizwa ujazo wa akaunt zake benk, Ali Kiba amedai hawez kutaja ila zipo za kutosha na akaunt zmejaa vilivyo na kudai cku atakapotaja ujazo wa akaunt zake ataushtua umma wa waTZ kwa kuwa ameanza miaka 2 iliyopita kutoza pesa hzo na amepga show nyng nje kuliko wasanii wte ambazo amedai haztangaz kwny blog wala media kama wengne.
Akilonga katka kipind cha XXL kinachoongozwa na B Dozen na badaye katka mahojiano na www.bongo123.com, mwanamuziki huyo amesema analipwa sh Mil 8 kwa kila show anayofanya hapa bongo na kutoa ushahd kuwa waulzwe global publishers walimlipa kias gan ktk show aliyoifanya cku ya Eid pala Dar Live, na pia analipwa pesa zipatazo Mil 12 kwa kila show anayofanya Ulaya na America ambazo amedai show hzo ni nyng mno. Amedai kuanzia mwez ujao wa 9 mpaka wa 12 ana booking ya show 8 za Afrika Kusin na Ulaya.
Alipoulizwa ujazo wa akaunt zake benk, Ali Kiba amedai hawez kutaja ila zipo za kutosha na akaunt zmejaa vilivyo na kudai cku atakapotaja ujazo wa akaunt zake ataushtua umma wa waTZ kwa kuwa ameanza miaka 2 iliyopita kutoza pesa hzo na amepga show nyng nje kuliko wasanii wte ambazo amedai haztangaz kwny blog wala media kama wengne.