Ally Kiba ni Messi, Diamond Ronaldo


i like it
kula gwala kaka
yaani humu kuna wale mashabiki maandazi
who knowz nothing,cant accept challenges and even the truth
that id too bad
 
n hv jaman,al kba n sawa na mwanafunz mwenye mwandko mzur darasan but hana juhud katka masomo yake yaan hajisomei then diamond ana mwandko mbaya but anajisomea na ana juhud darasan.hv unadhan nan hapo atafaulu na kufka mbal
 
Duh naona mumeamua jumu jf ndio mahala pa kumpaisha kiba. Haya mwambieni pia ajitahidi zaidi ki marketing na kuvutia watu labda atajuwa nae anapand.

Sio mbaya kila mtu akiwa na manufaa yake bali wasitumie watu kuongwa kuzomea wengine tu... Hapo ndio atajishusha na kutokupaaaa
 
Ali kiba hakuwahi kushuka mm naamini hivyo....yuko pale pale.
Alikosea kupumzika.
Hizo show za nje sio mbaya hata kidogo tusidanganyane..
Diamond angebaki kupiga kitorondo ktk fiesta wala asingefika hapo alipo.

Suala la kollabo na wanamuziki.
Mm nadhani kuna wanamuziki wenye heshima na wanamuziki wenye majina na influence kwa wakati husika.
Kibiashara aina ya pili ya mwanamuziki ni nzuri kufanya nao kazi kuliko wenye jina.sidhani ni nzuri kubeza jitihada za kijana kukolabo na kina davido na iyanya na wengine kwasabab hao ndio wenye soko ktk huu muziki wa Africa kwasasa.huwezi wabeza kina davido kwa kuwa kuna kina mdukuzi na salif keita....hao zama zao zimepita kama ulivyowataja kina zizou.

Ali kiba.
Natamani kama ambavyo mashabiki wake wanamkosoa diamond atumie nafasi hiii kujiboost zaidi ya alipo..asijiingize ktk huu mkumbo yeye aendelee kufanya kazi kwasababu alipokaa kimya mwenzake akafyatuka na ili kumtoa ktk reli anahitaji afanye kazi mara mbili.....
Natamani abadili kutoka kufanya kama Kipaji na akaze kama kazi...
Sidhani kama wale alioshirikiana nao ktk one8 akiwatafta watamkatalia sidhani....so aanze na 2face kwamfano.
Hata tuzungumze vipi bila kutoka nje ya mipaka yako progress inakua ndogo sana..
He has what it takes ili ateke soko la Africa so tumshauri aanze kukaza kama mwenzake,maswala ya kumjaza tu sifa kwamba ana sauti nzuri kisha sauti ikaishia fiesta sioni kama ni nzuri...
Najua akianza kutoka nje ya mipaka kuna wengine watasema anaiga ila yeye akaze tuuu..
Naomba niishie hapa nikitulia ntaandika mengine kwa kutumia PC maana simu nazo daah
Asanteni.



Shabiki wa wote wawili.
 
Nilivyoona li-Siredi lilefu nikataka niachane nalo ila nimelisoma lote na nimetamani lisiishe mkuu MR. CONFIDENT big up sana kwa somo lililokwenda Shule Moderator hebu unganisha Siredi zote za Diamond na Alikiba kwenye hii Siredi
 
Last edited by a moderator:
Ila siamini kama kiba ni msanii mwenye sauti nzuri bongo hata kidogo, msikilize dull sykes kwa ukongwe wote ule.
barnaba wamweka kundi gani, ila zinazovutia kuzisikiliza wapo kina steve rnb, belle 9,jux na wengineo kiba bado.
Ila kiba alitumia ombwe lililokuwapo kwenywe muziki wa bongo fleva baada ya wasanii wengi kuzima bila sababu za kueleweka,
Hivi kweli alikuwa mfalme wa bongo fleva? Kipindi ambacho tulibidi tukope toka kwenye taarabu na midundo ya afrika ya magharibi,
Hivi 20% alichukuwa tuzo 5 mbele ya ufalme wa staa gani au huyo ajiitaye mfalme wa kipindi kilichopita kisichotambulika.
Nn hasa kilichomfanya apotee kwenye mziki kwa nyimbo zisizo na viwango.
Wengi hapo kati kabla ya mondi walitusua kwenye huu muziki wa bongofleva mf belle 9 na yule aliyemuoa besta ..
Kiba si mkali kihivyo kama anavyopambwa.
Mfano ulioutumia si sahihi hata kidogo maana mpaka leo kuna ubishi kuhusu tuzo alizopewa hasa hii ya mwisho ni kama pele na maradona.
Mtu makini apitiapo post yako anagumdua ulipanga kumtetea nani.
Sasa ni kizazi cha wavuja jasho ,hivyo twaweza mtumia mondi kama mfano wa kijana anayejituma na mwenye bidii. Niache wengine wajadili maana hapa ground kwa free thinkers
 
Takwimu mpaka sasa diamondo baada ya fiesta kafanya show tano mfululizo ali kiba baada ya fiesta kafanya show moja tu

diamond

fiesta kigoma
mliman city siku ya msanii
coco beach show ya coca cola
ana show iliyosainiwa ya rwand
ana show iliyosainiwa ya usa

ali kiba
show ya fiesta kigoma
 
Dinazarde Heaven on Earth

Ukimuuliza mtu wa tz hapa msanii gani bora wa nigeria kwa sasa aatakwambia davido ila ukienda kwa wa nigeria wenyewe watakwambia wizkid..

Na Sikuzote kule nigeria wakiwekwa jukwaa moja wiz anafunika..

The same aplies to kiba na dai.
So mnaosema kiba mwisho wake leaders mnajitukana wenyewe kwa kushindwa kutumia ujuz wenu wa uk kumfunika kiba pale leaders
 
Last edited by a moderator:

Hahahhahah
Mkuu appoh acha kutudanya..

Kwanza baada ya fiesta ya dar kiba kafanya show mbili,FIESTA KIGOMA,na kuna show Kafanya TANGA.

Nae diamond kafanya show mbili tu,ile ya COCO BEACH na ile ya MLIMANI CITY..
....Diamond hakuwepo kwenye fiesta ya kigoma,hyo show ya rwanda ataifanya 1/1/2015(NEW YEAR), na hyo show ya USA anaifanya nextmonth

Huu uongo mwngne sijui unakua na lengo gan
 
Last edited by a moderator:

Unataka kusema nn, eti kwamba uko neutrality hakuna kitu kama hicho duniani, huwezi hata siku moja kufananisha kupendwa kwa kiba na nature point yako haina maana.
Je kwa research ipi uliyoifanya, kwa ukubwa gani, mikoa mingapi uliyousika.
Ay kabla hajaanza kujipambanua kimataifa alishapotea nyumbani, nyimbo zipi kali alizotoa kimataifa zikabamba nyumbani ,,
Hiyo inferiority complex uliyoitaja utakuwa nayo wewe,
Je ni kweli alishawahi kuwa mfalme wa bongo fleva nchini tz.
Na 20% tumweke kundi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…