Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
mtoa posti ni mtu mwenye fitina namba moja, ulitaka ali kiba agange njaa wakati anaelekea kutimiza miaka ishirini kwenye game la muziki soon.
angefulia mngemcheka, kafanikiwa mnamzushia, angekuwa mtu wa mapicha picha mngemuona mjivuni, mnataka nini binadamu!!!!
Mofaya huko sokoni inaendeleaje?