tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ile mo faya inapatikana wapi?
ππππInafanya vizuri sana kuliko redbull[emoji2][emoji2]
Nasikia jamaa anamiliki Yatch na Jumba kama la 50 Cent Sema hataki watu wajue tu.
View attachment 1076235
View attachment 1076236
Tunampenda sana na tunataka afanikiwe zaidi ila aweke bayana utajiri wake serikali iweze kukusanya kodi kutoka kwenye utajiri huoBinadamu wengi hawapendi kuona wezao wakipata maendeleo ya kimaisha
mara watasema alifanya hivi, wengine watadai kuwa alifanya vileee
mradi waharibu jina lake na sifa zake
binadamu ee tupendane
(nitakaza moyo hapa duniani niwashinde wafitini
oooo mola nilinde oooo nisaidie Γ2)
Instagram.Ile mo faya inapatikana wapi?