Ally Kiba usikubali mshikaji wangu, wanataka kukushusha hao

Kama ni kweli anaechochea bifu ni akina Sallam na Mond anajua kuwa bifu ndio linampaisha AK ni kwanin Mond asimuonye salam kutokumfuatilia AK au na wao wanapata kiki zaid kwa kupitia AK???
 
When you Go Low, We Go High. Hi ndo tofauti kati yako na Sisi, Kweli Watanzania mmefikia hapa?..Daah Bora Rais asaini huo Mswada haraka sana.
 
Waache wapatinishwe bifuzao zinagawamashabiki wa musik nakuwafanya wakose tuzo kwaajil ya bifu zao
 
Waache wapatinishwe bifuzao zinagawamashabiki wa musik nakuwafanya wakose tuzo kwaajil ya bifu zao
Nani amekosa tuzo... Diamond anapata tuzo kila siku kwa sababu ya uwezo.. Allykiba kupata tuzo bado inabidi abadili style yake ya mziki..
 
Mimi kutaja jina la huyo nani sijui kwenye habari tamu naona nazidi kumpa promo,ila ni kweli nitamtafuta Sallam hasiwe anampa promo huyo nani sijui kwenye posti zake.
Hivi ndivyo ilivyokuwa jana huko ZNZ.

 
Yaaaani umeanza vizuri katika umekunywa viroba ndii umemalizia
Aliyekwambia kinacho mpaisha kiba ni biffu na dimond nani???????
Upo field unajifunza kuandika au????
 
Yaaaani umeanza vizuri katika umekunywa viroba ndii umemalizia
Aliyekwambia kinacho mpaisha kiba ni biffu na dimond nani???????
Upo field unajifunza kuandika au????
Hapo sasa Timu ya kibakuli mnavyokosa uvimilivu
 
Wakati naanza kuisoma sikuelewa, but umeandika vizuri kwa style tofauti. Japo na wewe ni team mondi katika kivuli cha team Tanzania
 
Hili bifu ni la mashabiki ila sidhani kama wenyewe kiukweli wanatatizo kubwa hivo,linakuzwa mno kuliko ukweli ulivo.....mashabiki mnampoteza kiba acheni kumshikia akili..
 
Wakati naanza kuisoma sikuelewa, but umeandika vizuri kwa style tofauti. Japo na wewe ni team mondi katika kivuli cha team Tanzania

Asante sana.. Miye Timu Tanzania.. Timu mziki mzuri
 
Lol, don't detect sarcasm because there's none. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio hivyo tu hata humu jf zisianzishwe thread zozote kuhusu hilo bifu.Na hata likianzishwa na yeyote yule, asitokee yeyote wa kureply manake hata humu kunawatu wanapenda sana bif liendelee.Kama wewe ni team Kiba usibeze team diamond pia kama wewe ni team diamond usiumia kuona team diamond....then there will be no any bif.....thanks nawasilisha hoja
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aaah
Naona umeamua kunichana
 
No! Mkuu Alikiba alianza kabla ya Diamond... So diamond ndo yule waliokuwa wanamsubiria wale wasiompenda kiba...
Sinaga team ila sipendi ujinga ujinga
 
Mtoa mada unaweza toa ushauri vizuri lakin malengo ya ushauri wako yanahakisi kumchafua kiba uwezi sema mtu ana chochote alafu unakubali watz wanamkuba watz siwajinga awawezi kumkubali mtu asiye na kitu,tatizo wewe upo timu pinzani uwezi shauri vzr tuwahachie watu wa mziki wanajua cha kufanya,ata km kiba yupo katika ili jukwaa naamini awezi chukua huo ushauri wako,kwa maana una lugha ya kuuzi na ya kichochezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…