Wakati nafanya degree 2001 ya kwanza nadhani ulikuwa unanyea poti.. Na kuvaa pampers.. Ikutoshe tu am a senior member Hapa jf.
Kosa lako Leo uba bleed bi Dada..una hasira hasiraaaa
Hagombei uongozi, zero hapana! TFF ya zeroWew ulipata division ngapi form 4
wakusoma leta data, hawa wakoma wanyamazeNasema mkibisha hilo la kupata 0 nitatoa lingine kubwa..msinipimie...nimechokoza mada..Nina data..
Rugalabamu acha uzushiNikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
We we humjui...sie tumeishi nae..tumekua nae..tulieni mrambe dawaa..kesho napiga tena kombora la pill.Ninachojua ni kuwa mgombea sahihi kabisa Ali tembele ana shahada ya kwanza ndio maana amechukua form na anakidhi vigezo na kanuni za uchaguzi za TFF zinazotaka mgombea wa nafasi ya urais walau awe na shahada ya kwanza.
Kwani urais wa TFF unasomewa wapi? Kama RC anatakiwa ajue kusoma na kuandika tu, ndio itakuwa mpira huu ambao hata asiyejua kusoma anaujua?Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Wewe unampigia kampeni muhaya mwenzakoAlifeli ana decision 0 hawezi kuongoza TFF..msituletee mambo ya abajalo Sinza Hapa.tff ni kitu kikubwa.
Hili jina amekupa nani?Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Form 4 ulipata div ngapi?Ikutoshe tu Nina MBA
Mkibisha hii naleta jingine.
Nikimjua vizuri yeye Ali
kama sio form 4 basi 6
Makongo sijui makongo