Ally Mayai Tembele anaichokoza Yanga

Ally Mayai Tembele anaichokoza Yanga

Mpira wa tanzania unashida sana, tena hawa wanaojiita wachambuzi.

Leo upepo ukienda vizuri msimbazi baasi yeye ataandika anayotakaa kuhusu yanga! Nashangaa hii makala ameandika ALLY MAYAY tunaemfahamu sisi. Kuona simba kashinda mechi mbili basi, kaona yanga bado imeng'ang'ania mfumo wa zamani. Hivi huyu Ally hajui yanga wako katikati ya mchakato wa mabadiliko?
Sema uongo wake?..... alichoongea ni kweli mkuu
 
Mpira wa tanzania unashida sana, tena hawa wanaojiita wachambuzi.

Leo upepo ukienda vizuri msimbazi baasi yeye ataandika anayotakaa kuhusu yanga! Nashangaa hii makala ameandika ALLY MAYAY tunaemfahamu sisi. Kuona simba kashinda mechi mbili basi, kaona yanga bado imeng'ang'ania mfumo wa zamani. Hivi huyu Ally hajui yanga wako katikati ya mchakato wa mabadiliko?

Msolla hautaki mfumo wa mabadiliko.. maana atakosa pa kula... ila anazuga anautaka kwa kuurefusha.. ili mpaka utimie yeye ameshavuna vya kutosha na umri wa kustaafu umefikia...
 
Mpira wa tanzania unashida sana, tena hawa wanaojiita wachambuzi.

Leo upepo ukienda vizuri msimbazi baasi yeye ataandika anayotakaa kuhusu yanga! Nashangaa hii makala ameandika ALLY MAYAY tunaemfahamu sisi. Kuona simba kashinda mechi mbili basi, kaona yanga bado imeng'ang'ania mfumo wa zamani. Hivi huyu Ally hajui yanga wako katikati ya mchakato wa mabadiliko?
Kuna wakati nilidhani Ally Mayai ana akili kumbe nae hajitambui. Alipaswa kueleza aina ya uendeshaji wa club tunaohitaji na ambao ni endelevu. Mo akisema amejitoa Simba hakuna chochote kinachobakia cha kuitegemeza timu, ndivyo ilivyo kwa GSM na Yanga. Kwa ufupi hawa ni wafanyabiashara walioamua kupiga watu kupitia upinzani wa jadi wa hizi club.
 
Uelewa wako unatia sana shaka, yaani ni mdogo.
Kwa hiyo Azam au Prison zina mashabiki wengi ila hawataki tu kwenda viwanjani zinapocheza? Huyo mtu kazunguka viwanjani na kaona mashabiki wanajaa timu fulani inapocheza. Sasa unaidharau vipi hoja ya mashabiki kujaa viwanjani timu fulani inapocheza kwamba si kiashiria cha timu hiyo kuwa ina mashabiki wengi? Unajua kwa nini timu kubwa mfano huko ulaya zina viwanja vikubwa na timu ndogo zina viwanja vidogo?

Pia hoja ya kufa hujaielewa vizuri, kiufupi IQ yako ni ndogo sana kuelewa hoja kiupana.
Dah! Kweli mashabiki wa simba ni zombie generation yahani wewe unazni simba inavyocheza mashabiki wote wanaoingia uwanjani wanashabikia simba? na inshu kama kujaa uwanjani tumeona hata yanga akienda mikoani anapata nyomi ya kutosha sasa sijui hua mnaangalia mechi tu za simba za wenzenu hamzioni?
Halafu lazima utambue mashabiki wengi wa mpira bongo wanatabia ya kwenda uwanjani timu yao inapofanya vizuri, mfano ni ule msimu mbeya city ilipopanda daraja katika ule msimu timu iliyokua inaongoza kuingiza mashabiki uwanjani ilikua ni yanga ikifatiwa na mbeya city then simba na azam kipindi hicho simba walikua hawafanyi vizuri hivyo hata mashabiki wengi wasimba walikua hawaendi uwanjani lakini usingeweza kusema mbeya city ina mashabiki wengi kuliko simba kwasababu tu mbeya city mechi zao zilijaza mashabiki uwanjani kuliko simba
 
Mpira wa tanzania unashida sana, tena hawa wanaojiita wachambuzi.

Leo upepo ukienda vizuri msimbazi baasi yeye ataandika anayotakaa kuhusu yanga! Nashangaa hii makala ameandika ALLY MAYAY tunaemfahamu sisi. Kuona simba kashinda mechi mbili basi, kaona yanga bado imeng'ang'ania mfumo wa zamani. Hivi huyu Ally hajui yanga wako katikati ya mchakato wa mabadiliko?
Mchakato gani wa mabadiliko inaochukua siku zote hizo? Waneomba Ushauri na mapendekezo wanepewa, sasa mbona utekelezaji wake hauonekani tokea wapewe huo ushauri wa namna ya kendesha klabu? Halafu tunadanganyika kipumbavu eti klabu iendeshwe na wananchi, mwekezaji mwananchi. Hakuna kitu kama kwa sisi watanzania hiyo mifumo ni migumu sana kuendesha timu zaidi ya kutengeneza mirija ya ulaji kwa watu. Timu ipewe watu wenye ela zao waendeshe (wawekezaji)

Viongozi wa Yanga wanawanya mashabiki kama mazumbukuku na mashabiki nao wamekuwa wazumbukuku kabisaa. Tutabakia kulalamikaga tu tunaonewa tunaonewa lakini tunashindwa kuangalia matatizo yetu kwa jicho lingine.
 
Inawezekana Simba ikawa inaizidi vitu vingi sana Yanga kwa miaka hii ya hivi karibuni,lakini kwenye suala la ni nani mwenye mashabiki wengi mimi naamini Yanga ina mashabiki wengi zaidi kuliko Simba.mimi ni mshabiki wa Simba.
 
Inawezekana Simba ikawa inaizidi vitu vingi sana Yanga kwa miaka hii ya hivi karibuni,lakini kwenye suala la ni nani mwenye mashabiki wengi mimi naamini Yanga ina mashabiki wengi zaidi kuliko Simba.mimi ni mshabiki wa Simba.
Labda ungesema timu gani ina wanachama wabishi nongekukubalia ni yanga lakini kila kwenye kijiwe cha mpira washabiki wengi ni wa simba
 
Na Ally Mayai Tembele

Niliwahi kuandika Yanga inajidanganya yenyewe na kuishi kwa kivuli cha timu kubwa na kudhani labda dunia imesimama kumbe dunia inakimbia kwa kasi mno.

Nilisema Yanga imedumaa na Siku ikija kushtuka na kutaka kwenda sambamba na dunia itakuta tayari Simba imeliteka soko lote la Uchumi wa soka nchini.

Nilitoa mfano wa Juventus, Porto, Buyen Munich, Mazembe, Gor na Horoya kwamba timu hizi tayari zimejimilikisha Uchumi wa soka wa nchi zao. Leo hakuna mchezaji wa Kijerumani asiyetamani kuchezea Buyern. Au mchezaji anayezaliwa Italy ndoto yake kuu ni kucheza Juventus.

Na tunakoelekea na Tanzania hali ndiko inakoelekea. Simba inajimilikisha kwa kasi ya ajabu uchumi wa soka.

Yanga wamebaki kujivunia juzi na jana na sio leo na kibaya zaidi sioni kesho yao.
Kama Kuna kosa kubwa kuliko yote linafanyika ni pale wanapobeza mafanikio ya Simba na kuwaponda mwekezaji wa Muhamed Dewj.

Wamekuwa wakitafuta mapungufu machache yaliyopo Simba na kuyafanya ndio agenda yao. Wamesahau kabisa kuitazama timu yao na mkwamo uliopo wameamua kuitukuza Simba na kuitaja aidha kwa mapungufu au kuwabeza Kama watani. Wanasahau hapa wao wenyewe ndio wanaikuza brand ya Simba na kuifanya kutajwa mno midomoni kila siku.

Leo Yanga hawana hata Jambo Moja wanaloweza kupambana na Simba aidha ndani au nje ya Uwanja. Wamezidiwa kila udara na itawachukua muda mrefu mno kufikia Simba ilipo Sasa.

Yanga hawajakubali bado kubadilisha mfumo wao wa uendeshaji wa timu kutoka wa kizamani na wa kiholela kuja kwenye mfumo wa kisasa na hii inasababishwa na walaghai tena wezi wa jasho la wachezaji kuwahadaa ni timu ya wananchi na wasikubali mwekezaji kwa kuwa timu itakuwa si Mali yao Tena. Huu ndio uongo uliotukuka wanaoutumia walaghai kuendelea kujinufaisha kupitia klabu hii.

Embu tujiulize nyie wapenzi na mashabiki wa Yanga lini mlinunuliwa hata soda na klabu zaidi ya nyie kuchangishwa? Sasa hicho mnachoaminishwa mtakipoteza ni kipi? Wanaoogopa kupoteza ni wale akina fulani ambao maisha yao yanategemea timu kuendelea kuishi mjini.

Na hawa huwa hawachangii zaidi ya kuwa mstari wa mbele kuhamasisha ili wazizungukie mlango wa nyuma wakaziibe. Sisi tunaochanga Wala hatuna Cha kupoteza

Nahisi kwenye miaka ya sitini ni kweli mashabiki wa Yanga labda walikuwa wengi kuliko wa Simba na mkabweteka na mkasahau watu wanazaliwa na kufa.

Nimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.

ENDELEENI KULALA MKIAMKA TAYARI JUA LITAKUWA LINAZAMA.
Hili andiko limechapishwa lini na wapi? Maana hii msg ina zaidi ya mwaka inatumwatumwa.Msimlishe Ally Mayai maneno ili aonekane mbaya mbele ya wananchi.
 
Na Ally Mayai Tembele

Niliwahi kuandika Yanga inajidanganya yenyewe na kuishi kwa kivuli cha timu kubwa na kudhani labda dunia imesimama kumbe dunia inakimbia kwa kasi mno.

Nilisema Yanga imedumaa na Siku ikija kushtuka na kutaka kwenda sambamba na dunia itakuta tayari Simba imeliteka soko lote la Uchumi wa soka nchini.

Nilitoa mfano wa Juventus, Porto, Buyen Munich, Mazembe, Gor na Horoya kwamba timu hizi tayari zimejimilikisha Uchumi wa soka wa nchi zao. Leo hakuna mchezaji wa Kijerumani asiyetamani kuchezea Buyern. Au mchezaji anayezaliwa Italy ndoto yake kuu ni kucheza Juventus.

Na tunakoelekea na Tanzania hali ndiko inakoelekea. Simba inajimilikisha kwa kasi ya ajabu uchumi wa soka.

Yanga wamebaki kujivunia juzi na jana na sio leo na kibaya zaidi sioni kesho yao.
Kama Kuna kosa kubwa kuliko yote linafanyika ni pale wanapobeza mafanikio ya Simba na kuwaponda mwekezaji wa Muhamed Dewj.

Wamekuwa wakitafuta mapungufu machache yaliyopo Simba na kuyafanya ndio agenda yao. Wamesahau kabisa kuitazama timu yao na mkwamo uliopo wameamua kuitukuza Simba na kuitaja aidha kwa mapungufu au kuwabeza Kama watani. Wanasahau hapa wao wenyewe ndio wanaikuza brand ya Simba na kuifanya kutajwa mno midomoni kila siku.

Leo Yanga hawana hata Jambo Moja wanaloweza kupambana na Simba aidha ndani au nje ya Uwanja. Wamezidiwa kila udara na itawachukua muda mrefu mno kufikia Simba ilipo Sasa.

Yanga hawajakubali bado kubadilisha mfumo wao wa uendeshaji wa timu kutoka wa kizamani na wa kiholela kuja kwenye mfumo wa kisasa na hii inasababishwa na walaghai tena wezi wa jasho la wachezaji kuwahadaa ni timu ya wananchi na wasikubali mwekezaji kwa kuwa timu itakuwa si Mali yao Tena. Huu ndio uongo uliotukuka wanaoutumia walaghai kuendelea kujinufaisha kupitia klabu hii.

Embu tujiulize nyie wapenzi na mashabiki wa Yanga lini mlinunuliwa hata soda na klabu zaidi ya nyie kuchangishwa? Sasa hicho mnachoaminishwa mtakipoteza ni kipi? Wanaoogopa kupoteza ni wale akina fulani ambao maisha yao yanategemea timu kuendelea kuishi mjini.

Na hawa huwa hawachangii zaidi ya kuwa mstari wa mbele kuhamasisha ili wazizungukie mlango wa nyuma wakaziibe. Sisi tunaochanga Wala hatuna Cha kupoteza

Nahisi kwenye miaka ya sitini ni kweli mashabiki wa Yanga labda walikuwa wengi kuliko wa Simba na mkabweteka na mkasahau watu wanazaliwa na kufa.

Nimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.

ENDELEENI KULALA MKIAMKA TAYARI JUA LITAKUWA LINAZAMA.
Nakubaliana naye kwa baadhi ya mambo, lakini la wingi wa mashabiki hapana.
 
Hizi ni propaganda za utelembwe tu wasimsingizie Ali, hivi mtu ukizunguka viwanja vyote nchini ndio kigezo cha kujua timu flani ina mashabiki kiasi gani? eti yanga labda ilikua na mashabiki wengi miaka ya sitini wakajisaau na kubweteka kwamba mashabiki wanakufa na kuzaliwa hii ni oja ya kijinga kabisa, kwa mahana hiyo wanaokufa ni mashabiki wa yanga pekee na wasimba hawafi? na wote wanaozaliwa ni mashabiki wa simba pekee?
Huyu atakua sio Ali Mayai na kama kweli ni yeye basi IQ yake ni ndogo Sana kwa vigezo vipi mpaka aseme yanga awawezi kushindana simba ndani na nje ya uwanja
Wanaozaliwa wanakuta mafanikio ya simba kwa hiyo wanatembea na shangwe za mfalme wa Pori ,nani atembee na utopolo a k a maccm
 
Wanaozaliwa wanakuta mafanikio ya simba kwa hiyo wanatembea na shangwe za mfalme wa Pori ,nani atembee na utopolo a k a maccm
kumbe waziri mkuu, spika wa bunge kina makonda hawa mashabiki wa mikia fc ni makada wa chadema?
Always mashabiki wasimba kuna baadhi ya nati hua zimelegea kwenye brain zao
 
Back
Top Bottom