Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nilikuwa nawaangalia kwa dharau sana kwa jinsi mlivyokuwa mnajibaraguza kwenye media , nilijua mtashindwa vibaya sana ! Kwanza ni bahati kupata hata kura 9 .
Mmeingia kwenye uchaguzi hata bila kuwajua wapiga kura , kampeni mngefanyaje ? Si umeona Karia wala hajahangaika na media zenu , alichofanya ni kuchukua kura za mtu aliyewekwa gerezani na kujipa yeye , baaasi !!!
Siku nyingine mje kuomba ushauri .
Mmeingia kwenye uchaguzi hata bila kuwajua wapiga kura , kampeni mngefanyaje ? Si umeona Karia wala hajahangaika na media zenu , alichofanya ni kuchukua kura za mtu aliyewekwa gerezani na kujipa yeye , baaasi !!!
Siku nyingine mje kuomba ushauri .