Ally Sykes alipompatia kadi namba moja mwalimu Nyerere baada ya kutoka vitani 1943

Ally Sykes alipompatia kadi namba moja mwalimu Nyerere baada ya kutoka vitani 1943

Nadhani mkuu maelezo yanaeleza kwamba pamoja na picha kupigwa mwaka 1943, lakin TANu baadae ndo ilianza, ila mwaka wa picha kupigwa ni mwaka 1943, japo TANu ni 1954
Kuna uhusiano gani kati ya picha iliopigwa mwaka 1943 na kadi ya TANU iliyogaiwa mwaka 1954?!. Kwa nini uweke picha ya Sykes ya mwaka 1943 na kuinasibisha na Kadi ya TANU ya Mwalimu Nyerere ambalo ni tukio la mwaka 1954, wakati picha za Sykes na Nyerere za mwaka 1954 zipo tele kule maktaba ya Maalim Mzee MSA?.

Hapo ninachojiuliza ni the motive behind and the logic?.

P.
 
Kuna uhusiano gani kati ya picha iliopigwa mwaka 1943 na kadi ya TANU iliyogaiwa mwaka 1954?!. Kwa nini uweke picha ya Sykes ya mwaka 1943 na kuinasibisha na Kadi ya TANU ya Mwalimu Nyerere ambalo ni tukio la mwaka 1954, wakati picha za Sykes na Nyerere za mwaka 1954 zipo tele kule maktaba ya Maalim Mzee MSA?.

Hapo ninachojiuliza ni the motive behind and the logic?.

P.
Swali nilitaka kuliuliza pia
 
Hawa watu ni muhimu sana kuanzia.Nyerere, Sykes mpaka bibi titi ndo walikuwa wakombozi wa kweli, hakuna mkombozi mwingine hakika,
Hawa akina Lissu ni wanaharakati tu mbaya zaid wako radhi wawe upande mmoja na mgeni kukwamisha taifa,
Si kweli labda kama ni chuki binafsi,mangapi katahadhatisha tulipuuzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom