Ally's Bus mchukulieni hatua huyu mbeba mizigo yenu pale Shekilango

Ally's Bus mchukulieni hatua huyu mbeba mizigo yenu pale Shekilango

Wewe🤣🤣. Toka Mawasiliano-Shekilango huwa tunatoza 3k(nimekupa code kunifahamu).

Ulipofika Shekilango, ukaaambiwa mzigo haupo pale, so kufika ukanipa 5k kiroho safi.
Sio mimi siku ya kwanza waliponielekeza ofisi zao za mizigo maana nilifikia hapo shekilango nilitembea kwa mguu,

una hamu sana ya kunijua live live???? 😅😅😅 sio rahisi hivyo kama una hilo wazo lifute tu
 
Sio mimi siku ya kwanza waliponielekeza ofisi zao za mizigo maana nilifikia hapo shekilango nilitembea kwa mguu,

una hamu sana ya kunijua live live???? 😅😅😅 sio rahisi hivyo kama una hilo wazo lifute tu
Wala sina hamu na wewe. Kuwa amani.

Ila Kwa Msuguri pale nilikukuta unatembea kuelekea Kibanda cha Mkaa ukiwa unaongea na simu.🤣
 
Wafanyakazi wa ofisi za mizigo makampuni ya mabasi ni vilaza hawajui kama hiyo mizigo ndipo kula yao ilipo hata pale Abood kuna aliyepo ofisi za mizigo opposite na ubungo plaza pale engen oil station kwa ndani kule ni mkaka maji ya kunde jina sijawahi kumkariri ana kiburi na nyodo balaa anafoka ovyo tu
Abood ni washenzi sana, sitokaa nifanye nao kazi tena kenge wa damu ya mzee wale.
 
Hongera Apewe Salu au Salim pale Ofc ya mizigo Tashrifu
Kwa ustaarabu nadhani hawa wajomba wa waja lini waondoka lini walishavuka.

Na nahisi ni kutokana na umwinyi wa pwani kutopenda vurugu.

Ila huku kwingine ambako ustaarabu ulikuja baada ya mzee mwinyi kuruhusu kila mtu akajinunue televisheni sasa, mmmmh!.
 
Uyo ni mfanyakazi au kibarua .kheri katarama wana yule ni bubu sijui simwelewagi nae
 
Matajiri Wote Waliolalamikiwa JF Itawapelekea Ushauri/Maoni/Malalamiko
Ya Watumiaji/Wanaopata Huduma Kupitia Mabasi Yao Ili Wajirekebisha/Kuwaondoa Wanazorotesha Huduma
 
Back
Top Bottom