Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Sio mimi siku ya kwanza waliponielekeza ofisi zao za mizigo maana nilifikia hapo shekilango nilitembea kwa mguu,Wewe🤣🤣. Toka Mawasiliano-Shekilango huwa tunatoza 3k(nimekupa code kunifahamu).
Ulipofika Shekilango, ukaaambiwa mzigo haupo pale, so kufika ukanipa 5k kiroho safi.
una hamu sana ya kunijua live live???? 😅😅😅 sio rahisi hivyo kama una hilo wazo lifute tu