Daaah kuna mdada huwa anajifanya mtumishi wa tra kitengo cha minada ya magari anawapasua watu balaaHawa jamaa wana wizi wa kishamba sana, lakini mjini wajinga hawaishi ndio maana kila siku kuna watu wanapigwa
Sasa nawe ungetueleza walivyokuliza ili liwe fundisho kwetu tuongeze wigo wa kuchukua tahadhari.Mimi walinipiga 100k mwaka juzi, haohao wa kujifanya watu wa safaris ila mimi ilikuwa tofauti kidogo maana, Hawa jamaa huwa wanfuatilia harakati zako unazofanya na kwa sasa biashara nyingi ni za online hivyo huwa wanachukua namba zako na ku-plan jinsi gani wakuingie.... Na kiukweli wapo vizuri maana wamejipanga kwelikweli.... Utawasiliana hadi na muhindu, Mzungu,Mjerumani au hata Mbongo mwenzako kwa jisi tu watakavyokuwa wamekuundia mpango, Kuchomoka ilikuwa ngu kwangu maana waliingia hivyohivyo kama wateja.
nimecheka kuskia wakupe flight pass abiria [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2414204
Hawa jamaa walinifuata Insta na kutaka nifanye nao kazi ya ugavi. Walijitambulisha kuwa ni Sasakawa Lodge ndani ya Serengeti. Wakasema walitembelea trade profile yangu wakasema tukutane next day evening huko Serengeti tuingie mkataba.
Nikapigiwa na mwanamke ambaye anazungumza kiingereza cha lafudhi ya nchi jirani akinielekeza kuwa nikifika wameniwekea reservation na watanirfund nauli. Nikaulizia how will I get there akasema nikifika Arusha kuna flight shuttlels za kubeba watalii nitatumia hizo ndege.
Baadaye kidogo akanipigia kunijulisha kuwa kuna ndege ya TANAPA inatokea Zanzibar ina nafasi ya mtu mmoja hivyo ameongea na pilot amemkubalia kunichukua. Akanitumia namba nikacheki na rubani ambapo alinitajia kiwango cha nauli akisisitiza nimtumie kwa mobile money. Nimpe majina yangu anitumie flight pass.
Tangu awali nilishaanza kunusa utapeli. Nikamrudia yule mdada kumweleza yote na kumuuliza,kwa nini wao wasimlipe rubani mimi nikapanda ndege nikaja? Akasema utaratibu wao ni kutoa refund na kama ninataka deal basi nijigharimie kwenda watanirudiahia nauli na watanipa ya kurudia.
Kuna watu kama wanne hivi nimekuta wanalalamika nyakati tofauti kuhusiana na hii kampuni...
Naweka screenshots za mawasiliano
View attachment 2414207
TANAPA jina lao linatumika kutapeli, lakini mamlaka ta Mawasiliano badala ya kushughulika na hawa wahalifu badala yake wanadukua nani kamsema kiongozi
Mkurugenzi mmoja Mwana CCM alitapeliwa enzi za Magufuli kuwa amepata uteuzi na anahitajika Dodoma haraka sana next morning from Dar.
Wakafanya hivyo hivyo, sasa jamaa alikua mapepe sana, alivyopewa habari za kutuma pesa kwa Pilot hata hakuuliza mara mbili, katuma Kisha kakimbilia airport Dar...... kilichotokea ni story ndefu
Sasa nawe ungetueleza walivyokuliza ili liwe fundisho kwetu tuongeze wigo wa kuchukua tahadhari.
Mie nilitaka kununua gari bandarini yale ambayo wameshindwa kulipa kodi. Jamaa mmoja nilichukua number zake mtandaoni anajinadi ni mty wa bandarini. Katika mawasiliano akawa ananambia tukutame yadi Morocco anionyeshe gari. Nikawa najiuliza Morocco Kuna yadi ya serikali wapi? Wakati nimekulia kinondoni zaidi ya miaka ishirini. Nikawapotezea. .Ebu niachwe bana, sielewi hata ilikuwaje ila sihitaji kukumbuka... kitu pekee cha kusema ni kwamba ukiona dili limekuwa zuri sana kuwa makini
Atakua yupo hukuMie nilitaka kununua gari bandarini yale ambayo wameshindwa kulipa kodi. Jamaa mmoja nilichukua number zake mtandaoni anajinadi ni mty wa bandarini. Katika mawasiliano akawa ananambia tukutame yadi Morocco anionyeshe gari. Nikawa najiuliza Morocco Kuna yadi ya serikali wapi? Wakati nimekulia kinondoni zaidi ya miaka ishirini. Nikawapotezea. .
..Kuna mshikaji nilisoma nae chuo sema teye alikuwa darasa jingine. Mwaka 2018 akanitafuta tukakutana sinza kumekucha. Yule mshikaji akaanza kunipanga Kuna deal kubwa la Hela faida yake ni million 500 na zaidi kwa mwaka. Alivyo choko akaanza kuniita Mimi masikini Huku anahitaji Hela yangu. Eti nije na Hela tukutane na wawejezaji Kisha wanipe na risiti. Hakujua nimeaga Rombo nikamchana hizo habari za kindezi kwangu hamna. Text yake ya mwisho alinambia miaka mitatu baadae atakuwa mtu mie nitabaki kuwa masikini😆
Kuna siku nikiwa fire namuona Yuko na demu kambebea mizigo sijui demu wake. Kabeba mifuko kama wametoma kununua nguo. Evans kama uko humu ujue wewe ni choko tu. .
Anataka kunitapeli aisee Sina mambo ya kichawi ila ikatokea mtu kanitapeli nahakikish namaliza wagang wote Tanzania na nchi za jirani. Matako kabisa yule bwege.Atakua yupo huku
Sawa bwashe, nimeoa huko Rombo kwenuAnataka kunitapeli aisee Sina mambo ya kichawi ila ikatokea mtu kanitapeli nahakikish namaliza wagang wote Tanzania na nchi za jirani. Matako kabisa yule bwege.
Ukumbuke tu kutuma Hela ya maziwa ukweni 😊Sawa bwashe, nimeoa huko Rombo kwenu
Ilishatoka bwasheUkumbuke tu kutuma Hela ya maziwa ukweni 😊
Hahah nimecheka kwa sauti hapa kwa mama.lishe kha!Mie nilitaka kununua gari bandarini yale ambayo wameshindwa kulipa kodi. Jamaa mmoja nilichukua number zake mtandaoni anajinadi ni mty wa bandarini. Katika mawasiliano akawa ananambia tukutame yadi Morocco anionyeshe gari. Nikawa najiuliza Morocco Kuna yadi ya serikali wapi? Wakati nimekulia kinondoni zaidi ya miaka ishirini. Nikawapotezea. .
..Kuna mshikaji nilisoma nae chuo sema teye alikuwa darasa jingine. Mwaka 2018 akanitafuta tukakutana sinza kumekucha. Yule mshikaji akaanza kunipanga Kuna deal kubwa la Hela faida yake ni million 500 na zaidi kwa mwaka. Alivyo choko akaanza kuniita Mimi masikini Huku anahitaji Hela yangu. Eti nije na Hela tukutane na wawejezaji Kisha wanipe na risiti. Hakujua nimeaga Rombo nikamchana hizo habari za kindezi kwangu hamna. Text yake ya mwisho alinambia miaka mitatu baadae atakuwa mtu mie nitabaki kuwa masikini😆
Kuna siku nikiwa fire namuona Yuko na demu kambebea mizigo sijui demu wake. Kabeba mifuko kama wametoma kununua nguo. Evans kama uko humu ujue wewe ni choko tu. .
Hata buku yangu hawezi kula mtoto mshamba yuleHahah nimecheka kwa sauti hapa kwa mama.lishe kha!
Evans kala mashuti si ya kitoto. Hakupita hata na buku yako kweli?🤪🤪
[emoji23][emoji3]Mkurugenzi mmoja Mwana CCM alitapeliwa enzi za Magufuli kuwa amepata uteuzi na anahitajika Dodoma haraka sana next morning from Dar.
Wakafanya hivyo hivyo, sasa jamaa alikua mapepe sana, alivyopewa habari za kutuma pesa kwa Pilot hata hakuuliza mara mbili, katuma Kisha kakimbilia airport Dar...... kilichotokea ni story ndefu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Nimecheka sana, Hakuna mchaga ndeziMie nilitaka kununua gari bandarini yale ambayo wameshindwa kulipa kodi. Jamaa mmoja nilichukua number zake mtandaoni anajinadi ni mty wa bandarini. Katika mawasiliano akawa ananambia tukutame yadi Morocco anionyeshe gari. Nikawa najiuliza Morocco Kuna yadi ya serikali wapi? Wakati nimekulia kinondoni zaidi ya miaka ishirini. Nikawapotezea. .
..Kuna mshikaji nilisoma nae chuo sema teye alikuwa darasa jingine. Mwaka 2018 akanitafuta tukakutana sinza kumekucha. Yule mshikaji akaanza kunipanga Kuna deal kubwa la Hela faida yake ni million 500 na zaidi kwa mwaka. Alivyo choko akaanza kuniita Mimi masikini Huku anahitaji Hela yangu. Eti nije na Hela tukutane na wawejezaji Kisha wanipe na risiti. Hakujua nimeaga Rombo nikamchana hizo habari za kindezi kwangu hamna. Text yake ya mwisho alinambia miaka mitatu baadae atakuwa mtu mie nitabaki kuwa masikini[emoji38]
Kuna siku nikiwa fire namuona Yuko na demu kambebea mizigo sijui demu wake. Kabeba mifuko kama wametoma kununua nguo. Evans kama uko humu ujue wewe ni choko tu. .
Hajui nimevuka mito mingap Kuja Dar😬[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Nimecheka sana, Hakuna mchaga ndezi