Almost 70% of Tanzania is electrified

Almost 70% of Tanzania is electrified

Yale majamaa ya upande wa pili yataanza kupinga.JPM ni kiboko kazi inapigwa balaa mpaka 2020 naamini zaidi ya vijiji vitakuwa vimeunganishwa na umeme.Prediction itakuwa zaidi ya 80%.
Bado na lami zinatandikwa balaa kwenye miji mbalimbali mfano Musoma ni balaa karibu kila mtaa lami.
 
Yale majamaa ya upande wa pili yataanza kupinga.JPM ni kiboko kazi inapigwa balaa mpaka 2020 naamini zaidi ya vijiji vitakuwa vimeunganishwa na umeme.Prediction itakuwa zaidi ya 80%.
Bado na lami zinatandikwa balaa kwenye miji mbalimbali mfano Musoma ni balaa karibu kila mtaa lami.
Hatar sana mkuu, JPM akimaliza muda wake tunataka Rais mwingine kama JPM.
 
Yale majamaa ya upande wa pili yataanza kupinga.JPM ni kiboko kazi inapigwa balaa mpaka 2020 naamini zaidi ya vijiji vitakuwa vimeunganishwa na umeme.Prediction itakuwa zaidi ya 80%.
Bado na lami zinatandikwa balaa kwenye miji mbalimbali mfano Musoma ni balaa karibu kila mtaa lami.
Musoma watu wamesoma sana?
 
That is just generation capacity by the state body KenGen, There is no monopoly of generation in Kenya as there are so many independent power producers including the famous 310MW late Turkana wind power.
Hamna megawatts zaidi ya 2300
 
Unahesabu vijiji ama households?
Juu kijiji inaweza kuwa nayo but some houses still zikose
 
That is just generation capacity by the state body KenGen, There is no monopoly of generation in Kenya as there are so many independent power producers including the famous 310MW late Turkana wind power.
Wewe zero brain kweli..hivi unajua tatizo la independent power producers katika nchi...?? Hayo ndomambo Magufuli alikataa...
 
Unahesabu vijiji ama households?
Juu kijiji inaweza kuwa nayo but some houses still zikose
Kufungiwa umeme ni Tanzania shilling 27, 000/= ambayo ni sawa na Kenya shilling 1,220/=. Hivi sasa kweli Mtu mwenye nyumba anaweza kosa hiyo pesa...?? Hivi huwa mnafikili kwa kutumia matako..??
 
The electricity access rate in Kenya stood at 73.42 percent as at the end of April 2018, owing to various national electrification projects that have been undertaken by Kenya Power.~The Energy Progress Report World Bank
 
Back
Top Bottom