Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely yes 100% saute to you Mr. PresidentYaani hii speed Tanzania tunayoondoka nayo sio mchezo
So far Tanzania ndio inaongoza ukanda huu kwenye
Electric supply
Safe and Clean water supply
Tarmac road network
High quality of health services
Good education
Dah Em wengine ongezeni sababu nimechoka
View attachment 1219340
[emoji184] JPM is a Treasure [emoji184]
😂😂😂😂😂😂
Aha ha ha
Birds/animals are not having sex, but are mating.
Nina maswali kama matano hizi ambayo nikikuuliza nafikiri utakimbia ila leo Sina mood ya kubishana sana 😂😂😂 ila ngoja,Kenya wana barabra za lami km 12,000 . Tanzania barabara za lami no km 7600
Na timilia maanani Tz INA eneo nusu ya Tanzania , sasa niambie nani ana barabara. Kigezo ambacho Tz inaizidi Kenya ni chakula tu. Maeneo mengine yote ya kiuchumi Tz iko nyuma ya Kenya. Tena awamu ya NNE Tz ndioimejenga . anaebisha google economic comparison kati ya hizo vigezo vyote utapata. Hata makusanyo ya kodi na foreign reserve Kenya is far ahead . wale wenye majukumu ya propaganda mtabisha lakini wenye akili za uelewa tutawaacha lakini ukweli haujifichi. Hiyo no chanzo cha kudhibiti takwimu Tanzania lakini hatuna uwezo Wa kudhibiti takwimu za kimataifa. Pale ukweli unaanikwa.
Subiri waje wakupee za usoni! Huwezi ZALILISHA nchi ya asali na maziwa namna hii 🙄Kenya wana barabra za lami km 12,000 . Tanzania barabara za lami no km 7600
Na timilia maanani Tz INA eneo nusu ya Tanzania , sasa niambie nani ana barabara. Kigezo ambacho Tz inaizidi Kenya ni chakula tu. Maeneo mengine yote ya kiuchumi Tz iko nyuma ya Kenya. Tena awamu ya NNE Tz ndioimejenga . anaebisha google economic comparison kati ya hizo vigezo vyote utapata. Hata makusanyo ya kodi na foreign reserve Kenya is far ahead . wale wenye majukumu ya propaganda mtabisha lakini wenye akili za uelewa tutawaacha lakini ukweli haujifichi. Hiyo no chanzo cha kudhibiti takwimu Tanzania lakini hatuna uwezo Wa kudhibiti takwimu za kimataifa. Pale ukweli unaanikwa.
Wewe ni lofa na mpumbavu, takwimu tu za 2017 barabara za lami Tanzania zilikua zaidi 12k (zilizokua zimekamilika) huku barabara zilizokua under construction zikiwa zaidi ya 7k hapo sijaweka barabara mpya zilizoanza baada ya 2017Kenya wana barabra za lami km 12,000 . Tanzania barabara za lami no km 7600
Na timilia maanani Tz INA eneo nusu ya Tanzania , sasa niambie nani ana barabara. Kigezo ambacho Tz inaizidi Kenya ni chakula tu. Maeneo mengine yote ya kiuchumi Tz iko nyuma ya Kenya. Tena awamu ya NNE Tz ndioimejenga . anaebisha google economic comparison kati ya hizo vigezo vyote utapata. Hata makusanyo ya kodi na foreign reserve Kenya is far ahead . wale wenye majukumu ya propaganda mtabisha lakini wenye akili za uelewa tutawaacha lakini ukweli haujifichi. Hiyo no chanzo cha kudhibiti takwimu Tanzania lakini hatuna uwezo Wa kudhibiti takwimu za kimataifa. Pale ukweli unaanikwa.
Kama unakubaliana na hizo *farts* zake basi ninyi tulishawapita kilometres of tarmac roads siku nyingi sana which is true without even his gibberish.Subiri waje wakupee za usoni! Huwezi ZALILISHA nchi ya asali na maziwa namna hii 🙄
That is Urban connectivity, what about rural connectivity, remember that in order to get connectivity for the whole country you need to divide by two sum of urban + rural.The electricity access rate in Kenya stood at 73.42 percent as at the end of April 2018, owing to various national electrification projects that have been undertaken by Kenya Power.~The Energy Progress Report World Bank
Data ni za ccm ,tuleteeni za world bank,un etc tunajua uchaguzi unakaribia kwaivo cccm kwa na propaganda ni Chanda na pete
Wewe ndiyo unatoa takwimu za kimataifa! Ofisi zako zipo wapi tuje tuchukue hizo takwimu za kimataifa.Kenya wana barabra za lami km 12,000 . Tanzania barabara za lami no km 7600
Na timilia maanani Tz INA eneo nusu ya Tanzania , sasa niambie nani ana barabara. Kigezo ambacho Tz inaizidi Kenya ni chakula tu. Maeneo mengine yote ya kiuchumi Tz iko nyuma ya Kenya. Tena awamu ya NNE Tz ndioimejenga . anaebisha google economic comparison kati ya hizo vigezo vyote utapata. Hata makusanyo ya kodi na foreign reserve Kenya is far ahead . wale wenye majukumu ya propaganda mtabisha lakini wenye akili za uelewa tutawaacha lakini ukweli haujifichi. Hiyo no chanzo cha kudhibiti takwimu Tanzania lakini hatuna uwezo Wa kudhibiti takwimu za kimataifa. Pale ukweli unaanikwa.
Asante kwa kunisaidia 😂😂😂 zinamtosha hizoNimeshampa kubwa tiyari
kuna tofauti ya kijiji kuwa na stima na boma 70% kuwa na stimaHuu ni uongo i should be 90%, nilikua nafanya project na organisation moja tulitembea almost 80% ya rural Tanzania, sikuona kijiji hata kimoja kisicho na umeme wa REA