Alone and lonely

Kidogo naanza kupata faraja
 
Namba inasoma ngapi now? Wachana na wapenzi wa watu. Muombe Mungu akuoneshee wako ni yupi...
Age au? Kama ni umri, nakaribia kuutupa ujana maana ujana mwisho ni miaka 35
 
Mkuu naona kama makali ya ushawishi bado yapo sana tu.
Kwa uwasilishaji wako huu wa hapa tu una uhakika wa kupata, sio atakaekuja kimaslahi ila watakaoitikia wito wa asili wa kufarijiana.

Hongera comrade.
 
Me sio 'jamaa, jamaa ni aina ya sabuni.

Nimechukua muda wangu kukujulia hali unasema nazingua? Binadamu nyieee [emoji23]
Nitajisikia mwenye faraja kama utanijulia hali kila siku.

Pole kwa kukuuita jamaa. Nilisahau kama ni kuna sabuni inaitwa kwa jina hilo
 
Vijana oeni mapema! Kuzaa ukubwani ni ujinga sana! Una miaka 35bado huna mtoto! Dah yaani ukija kuwa na miaka 60 ndio mwanao ako na 20 yes yaani ndio anamaliza form six
 
Imebidi ni 'reread. Sijaona sehemu kasemea chochote kuhusu Mungu. Au ni team Kiranga huyu? Basi nimpe tu pole sitokuwa na msaada zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa unanitenga tena wakati tulianza vizuri?

Hata yesu mwenyewe hakuja kwaajili ya wenye haki. Alikuja kuwaokoa waliopotea.
Huenda ukawa ni njia ya kunifanya nikamrudia bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…