Alone and lonely

Alone and lonely

Nisije nikaanguka mapepo maana mara yangu ya mwisho kwenda kanisani ilikua mwaka 2006
Jesus Christ 🤦🏾‍♀ ndio maana Mungu amekusahau 😂 hebu mrudie bwana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa unanitenga tena wakati tulianza vizuri?

Hata yesu mwenyewe hakuja kwaajili ya wenye haki. Alikuja kuwaokoa waliopotea.
Huenda ukawa ni njia ya kunifanya nikamrudia bwana
Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu.

Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee.
 
Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu.

Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee.
Tatizo ni kuwa huenda ni neno lipo ndani yangu na inabidi litimilike? Au hujui kuwa kila kinachotokea ni mipango ya Mungu?
 
Back
Top Bottom