Salamu marafiki.
Nimekuwa nikisoma mabandiko kadhaa katika ukumbi. Nimeona kuwa kuna watu wana tabia ya kufupisha maneno kama kusikia basi nakadhalika kwa kueka herufi "c" badala ya herufi "s". Kitu kinachonishangaza utaona kuwa mtu anaadika bac akimaanisha kuwa ni kifupisho cha basi au "kuckia" badala ya "kusikia".
Kwa ulewa wangu mimi "c" siyo "si" kwa kiswahili
c ni Che .
Ni maoni yangu kuwa japokuwa tumeathiriwa na lugha ya kupelekeana habari kwa kutumia simu zetu za mikononi, ukatishaji wa maneno unaweza ukabadilisha maana ya neno na hata kupotosha lugha yetu.
Shukrani.
Nimekuwa nikisoma mabandiko kadhaa katika ukumbi. Nimeona kuwa kuna watu wana tabia ya kufupisha maneno kama kusikia basi nakadhalika kwa kueka herufi "c" badala ya herufi "s". Kitu kinachonishangaza utaona kuwa mtu anaadika bac akimaanisha kuwa ni kifupisho cha basi au "kuckia" badala ya "kusikia".
Kwa ulewa wangu mimi "c" siyo "si" kwa kiswahili
c ni Che .
Ni maoni yangu kuwa japokuwa tumeathiriwa na lugha ya kupelekeana habari kwa kutumia simu zetu za mikononi, ukatishaji wa maneno unaweza ukabadilisha maana ya neno na hata kupotosha lugha yetu.
Shukrani.