Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri (PB-1:00:03)

Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri (PB-1:00:03)

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri baada ya Kukimbia Kwa Muda wake mzuri wa saa Moja na sekunde Tatu (1:00:03), kwenye Mbio za Nusu Marathoni -katika Mashindano ya Riadha Falme za kiarabu ( TheRAKHalfMarathon) zilizofanyika Leo.

Amekimbia Muda wake mzuri (Personal Best), tutarajie Makubwa katika Mbio za Jumuiya ya Madola yatakafanyika Birmingham au Mbio za Dunia zitazofanyika Oregon Marekani 15 Julai -24 Mwaka huu.
 
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri baada ya Kukimbia Kwa Muda wake mzuri wa saa Moja na sekunde Tatu (1:00:03), kwenye Mbio za Nusu Marathoni -katika Mashindano ya Riadha Falme za kiarabu ( TheRAKHalfMarathon) zilizofanyika Leo...
Tulipaswa kuwa na akina Simbu kama 20 hivi,sielewi kwa nini hawa vijana wadogo hawachangamkii hii fursa.
 
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri baada ya Kukimbia Kwa Muda wake mzuri wa saa Moja na sekunde Tatu (1:00:03), kwenye Mbio za Nusu Marathoni -katika Mashindano ya Riadha Falme za kiarabu ( TheRAKHalfMarathon) zilizofanyika Leo...
Kawa wangapi?
 
19 February 2022
United Emirates

Results Ras Al Khaimah Half Marathon 2022​

Results Elite Men

Pos.NameTime
1Jacob Kiplimo00:57:56
2Rodgers Kwemoi00:58:30
3Kenneth Kiprop Renju00:58:35
4Seifu Tura Abdiwak00:58:36
5Amdework Walelegn Tadese00:58:40
6Daniel Kibet Mateiko00:58:45
7Alexander Mutiso Munyao00:58:48
8Abel Kipchumba00:59:47
9**Alphonce Felix Simbu TAN01:00:03
10Kennedy Kimutai01:00:10
11Richard Yator Kimunyan01:00:11
12Abayneh Degu Tsehay01:00:25
13Isaac Kibet01:00:32
14Ronald Kiprotich Kirui01:00:36
15Shifera Tamru Aredo01:00:47
16Mathew Kipkorir Kimeli01:01:29
17Titus Kipjumba Mbishei01:01:53
18Petros Amanal01:02:36
19**Joseph Panga TAN01:03:01
20**Faraja Lazaro Damasi TAN01:03:04


Women’s Half Marathon
Final
PLACE NAME NAT. MARK
1 Girmawit GEBRZIHAIR ETH 1:04:14
2 Hellen OBIRI KEN 1:04:22
3 Sheila Chepkirui KIPROTICH KEN 1:04:36
4 Judith JEPTUM KEN 1:05:28
5 Bosena MULATE ETH 1:05:46
6 Eilish MCCOLGAN GBR 1:06:26
7 Daisy CHEROTICH KEN 1:06:33
8 Eunice Chebichii CHUMBA BRN 1:07:22
9 Pauline ESIKON KEN 1:07:50
10 Jackline SAKILU TAN 1:15:38**
11 Cécilia MOBUCHON FRA 1:18:42

READ MORE :
The result lists from Ras Al Khaimah Half Marathon on February 19, 2022. On this page you can also find the rankings from previous years (2020).
Source: RESULTS RAK Half Marathon 2022 [+ Photos]
 
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu afanya Vizuri baada ya Kukimbia Kwa Muda wake mzuri wa saa Moja na sekunde Tatu (1:00:03), kwenye Mbio za Nusu Marathoni -katika Mashindano ya Riadha Falme za kiarabu ( TheRAKHalfMarathon) zilizofanyika Leo...
Kaka Hapo Kwenye mbio za Jumuiya Ya Madola Birmighama UK nimeelewa…
Ila Ulivyosema Tena Mbio za Dunia Marekani???
Ni Mbio gani hizo? Olympic?Boston au Zipi?
Sababu mpira wa Miguu ndio kuna Kombe la Dunia….Sijawahi Kusikia Mbio za Dunia Kaka…
Ufafanuzi Please
 
Why do Tanzanians always aim and are satisfied when they are second best? Don't they have what it takes to be the best!!!?

Mnajisifia kuwa watu wa 9? Je mgekuwa wa kwanza?

Kaka All in All Kwa Tanzania wanariadha wanajitahidi mnooo…Licha Ya Kuwa Mpira wa Miguu ndio Umepewa Kipaumbele Kwa Fedha na Promotion…Lakini ndio mchezo au Haufanyi Vizuri Kabisa huo Mpira wa Miguu…
After two years Utakuja Kuniambia Riadha itakuwa wapi!
Itakuwa juuu sanaa Mnooo…
Riadha Kupitia Social runners na Kwenye vikundi Mbali mbali wanajitahidi Kuuhamasisha sana Huu Mchezo!
Ipo Siku watu wataweka Footbal pembeni watahamia Riadha…Soon[emoji41]
 
Kaka Hapo Kwenye mbio za Jumuiya Ya Madola Birmighama UK nimeelewa…
Ila Ulivyosema Tena Mbio za Dunia Marekani???
Ni Mbio gani hizo? Olympic?Boston au Zipi?
Sababu mpira wa Miguu ndio kuna Kombe la Dunia….Sijawahi Kusikia Mbio za Dunia Kaka…
Ufafanuzi Please

World Athletics (IAAF) huwa wana mbio za dunia...google IAAF world championship
 
Tulipaswa kuwa na akina Simbu kama 20 hivi,sielewi kwa nini hawa vijana wadogo hawachangamkii hii fursa.

1. Watapatikana wapi wakati TFF, SIMBA NA YANGA zimekwisha ua michezo ambayo imewahi kuiletea heshima nchi yetu?

2. Mazungumzo ya watanzania kuanzia asubuhi hadi jioni ni simba yanga , utopolo makolo

3. Viwanja vya michezo mingine vilishakufa na hata watoto wakizaliwa wanaanza kulazimishwa kushabikia timu hizo kama walazimishwavyo kufuata dini za wazazi wao unakuta katoto kadogo kananunuliwa jezi hakijui hili wala lile

4. Nchi inatumia nguvu nyingi kujidanganya kuwa ipo siku tutauweza mchezo huu kitu ambacho sii kweli. Sisi ki nchi hatuna asili na soka sisi ni kama wahindi, pamoja na kuwa na hela nyingi lakini huu mpita umewashinda na wakaamua kuwekeza kwenye golf na cricket
 
Why do Tanzanians always aim and are satisfied when they are second best? Don't they have what it takes to be the best!!!?

Mnajisifia kuwa watu wa 9? Je mgekuwa wa kwanza?

Kwenye riadha kuna kitu kina PB, SB na rekodi nyingine...

Sasa huo muda unaoona hapo wa Simbu, ina maana tokea ameanza riadha hajawahi kimbia umbali tajwa kwa mida tajwa...

Hivyo hiyo ni personal achievement kubwa kwa mwanariadha yoyote...
 
Tulipaswa kuwa na akina Simbu kama 20 hivi,sielewi kwa nini hawa vijana wadogo hawachangamkii hii fursa.

Kabisa kaka….
Trust me Vijana wapo…
Ila Nilivyoona na Kujifunza…Vijana wana Train wenyewe tuu…Hakuna Motisha,Malazi na Mafunzo!
Ila Vipaji Vipo tena sana tuuu!
Tatizo watu Wamekazania Mpira wakati huko Hamna Kituu
Sasa hivi Vijana wadogo 20s wapo sanaa tuu,
Labda Pia Waandaliwe pia 15yrs and above!
Mimi Naamini Watanzania wanaweza Sana Kuvunja Rekodi ya Dunia Katika Riadha kama Miaka ya Zamani!
Tamzania Ilijulikana sana Katika Michezo kwasababu ya Riadha,Miaka ya 60,70 na 80.
 
Nimetafakari Nimegundua kitu…

Kuna qatu wajanja sana…Sehemu Nzuri ya Kula ni Kupitia Mpira wa Miguu

Riadha ni ngumu kula sababu Riadha Inaongea…

Ukifanya Mazoezi vema Unaweza Pata PB bila Uwongo wala Kuhonga! Yaani Mafanikio ni Direct…

Sasa Mpira ukila Hela una Cha Kusingizia Kuwa Openet wako alikuwa vema mnoo,Mara Maandalizi!Mara Umehujumiwa na Refa nk nk.

Ila Riadha ni Muhusika tuu akifundishwa vema na Malazi…Akafanya Riadha kadhaa Unaona Muda Aliotumia haidanganyi yaani!Hazuiliwi na Mtu!
 
Kaka All in All Kwa Tanzania wanariadha wanajitahidi mnooo…Licha Ya Kuwa Mpira wa Miguu ndio Umepewa Kipaumbele Kwa Fedha na Promotion…Lakini ndio mchezo au Haufanyi Vizuri Kabisa huo Mpira wa Miguu…
After two years Utakuja Kuniambia Riadha itakuwa wapi!
Itakuwa juuu sanaa Mnooo…
Riadha Kupitia Social runners na Kwenye vikundi Mbali mbali wanajitahidi Kuuhamasisha sana Huu Mchezo!
Ipo Siku watu wataweka Footbal pembeni watahamia Riadha…Soon[emoji41]
Hiyo kuacha mpira kuhamia riadha sahau
 
Kaka All in All Kwa Tanzania wanariadha wanajitahidi mnooo…Licha Ya Kuwa Mpira wa Miguu ndio Umepewa Kipaumbele Kwa Fedha na Promotion…Lakini ndio mchezo au Haufanyi Vizuri Kabisa huo Mpira wa Miguu…
After two years Utakuja Kuniambia Riadha itakuwa wapi!
Itakuwa juuu sanaa Mnooo…
Riadha Kupitia Social runners na Kwenye vikundi Mbali mbali wanajitahidi Kuuhamasisha sana Huu Mchezo!
Ipo Siku watu wataweka Footbal pembeni watahamia Riadha…Soon[emoji41]
Ndoto za alinacha....
Tuache mpira tuanze kuangalia watu wanakimbia bila sababu.
 
Kaka All in All Kwa Tanzania wanariadha wanajitahidi mnooo…Licha Ya Kuwa Mpira wa Miguu ndio Umepewa Kipaumbele Kwa Fedha na Promotion…Lakini ndio mchezo au Haufanyi Vizuri Kabisa huo Mpira wa Miguu…
After two years Utakuja Kuniambia Riadha itakuwa wapi!
Itakuwa juuu sanaa Mnooo…
Riadha Kupitia Social runners na Kwenye vikundi Mbali mbali wanajitahidi Kuuhamasisha sana Huu Mchezo!
Ipo Siku watu wataweka Footbal pembeni watahamia Riadha…Soon[emoji41]
Inshallah!
 
Back
Top Bottom