Alphonce Msigwa: Uoto wa Asili lazima urejeshwe na kulindwa

Alphonce Msigwa: Uoto wa Asili lazima urejeshwe na kulindwa

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257

Alphonce Msigwa ambaye ni Mratibu wa Mradi wa Kulinda Ikolojia ya Hifadhi ya Mahale na Hifadhi ya Katavi amesema lengo la mradi ni kusaidia Wanyamapori kuendelea kuwepo huku Abel Mtui ambaye ni Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Katavi akisisitiza umuhimu wa upatikanaji wa magari yaliyotolewa katika kuhakikisha ufanisi wa kazi unakua imara.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko ameagiza uoto wa asili uliopotea kurejeshwa ili kuhakikisha hifadhi zote zilizoko Mkoa wa Kigoma na Katavi kuendelea kuleta ustawi wa nchi
 
Back
Top Bottom