Alphonce Simbu na Jackline Sakilu Wang’ra Shanghai Marathon huko China.

Alphonce Simbu na Jackline Sakilu Wang’ra Shanghai Marathon huko China.

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ashika nafasi ya Pili kwa muda wa Saa mbili na Dakika tano na sekunde Thelathini na Tisa (2:05:39) na kuwa muda wake mzuri (PB) yaani (Personal Best).

Huku Mwanariadha Jackline Sakilu akishika nafasi ya Nane kwa muda wa saa mbili na dakika ishirini na Sita (2:26:50), muda mzuri kwake (Personal Best) na Hivyo muda huo kumfanya kuwa Mwanariadha wa pili wa kike kufuzu mashindano ya Kimataifa ya Olimpiki ya Paris 2024 yanayotarajiwa kufanyika Paris Ufaransa 2024.

Pia imefikisha jumla ya wanariadha wanne wa Tanzania waliofuzu 2024 Paris Olympics, wengine wakiwa ni Gabriel Gerald Geay , Alphonce Felix Simbu na Magdalena Chrispine Shauri.

Mbio hizi Shanghai Marathon ni kati ya Mbio 12 kubwa zaidi duniani zenye Platnum Label.
 
Saa mbili na Dakika tano na sekunde Thelathini na Tisa (2:05:39) na kuwa muda wake mzuri (PB) yaani (Personal Best).

Men
1 Philimon Kitoo Kipchumba (KEN) 2:05:35
2 Alphonce Felix Simbu (TAN) 2:05:39
3 Solomon Kirwa Yego (KEN) 2:05:42
4 Kenneth Keter (KEN) 2:05:53
5 Enoch Onchari (KEN) 2:07:47
6 Kinde Atanew Ayaler (ETH) 2:08:27
7 Debesay Desale Tekelemarian (ETH) 2:09:19
8 Nicholas Kirwa (KEN) 2:11:16


Muda mzuri, Olympics wakiwa ktk hali nzuri kiafya na kiakili Tanzania itakuwa na nyongeza ya wakimbiaji mahiri kushindana na Kenya, Ethiopia, Eritrea, Morocco kuwania medali mbio za marathon.


Riadha ni mabalozi wetu wazuri duniani kupitia michezo na kuitambulisha Tanzania duniani kote hivyo RoyalTour Tanzania wawe karibu nao kufadhili kambi na mazoezi.
 
Men
1 Philimon Kitoo Kipchumba (KEN) 2:05:35
2 Alphonce Felix Simbu (TAN) 2:05:39
3 Solomon Kirwa Yego (KEN) 2:05:42
4 Kenneth Keter (KEN) 2:05:53
5 Enoch Onchari (KEN) 2:07:47
6 Kinde Atanew Ayaler (ETH) 2:08:27
7 Debesay Desale Tekelemarian (ETH) 2:09:19
8 Nicholas Kirwa (KEN) 2:11:16


Muda mzuri, Olympics wakiwa ktk hali nzuri kiafya na kiakili Tanzania itakuwa na nyongeza ya wakimbiaji mahiri kushindana na Kenya, Ethiopia, Eritrea, Morocco kuwania medali mbio za marathon.


Riadha ni mabalozi wetu wazuri duniani kupitia michezo na kuitambulisha Tanzania duniani kote hivyo RoyalTour Tanzania wawe karibu nao kufadhili kambi na mazoezi.
Hongera kwao, wajiande kikamilifu maana Medal ya Olympics ni habari pevu.
Serikali iwa support kwa nguvu zote jamaa Wana kitu.
 
Kongole kwao.
Serikali wapigeni tafu tafadhali.
Hapa naoma kabisa wkina Ikangaa J, Nyambui S na Bayi F.
 
Back
Top Bottom