Alshabaab wahamisha goli kwanini walivamia, wasema kero yao kwa sasa ni Trump kuitambua Jerusalem

Alshabaab wahamisha goli kwanini walivamia, wasema kero yao kwa sasa ni Trump kuitambua Jerusalem

Hakuna cha Jerusalem wala nini? Lengo ni kumtaka Uhuru Kenyatta kuondoa KDF uko Somalia hili la Jerusalem ni coincidence tu kujaribu kumtishia US....Kwanza kabisa Kenya lazima ijue KDF kuendelea kujiingiza kwenye Mambo ya Somalia haitasaidia kuzuia Alshabab waishe lazima tujue Alshabab ni ideology kundi ni watu tu wengine ni militants wengine tuna mingle nao makazini km Raia wakawaida tu hivyo wapo ndani ya Kenya na wapo Somalia...Hizi misaada ya US kwa Kenya ya kijeshi nadhani wakenya hawajui lengo ni kukalia Kenya kijeshi na Somalia uku aki prolong Crisis sawa kabisa na anachokifanya uko Syria yani hataki majeshi ya Assad ya Syria kushinda hivyo kukalia maeneo kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wengi wanatiririka humu wakiomba KDF itoke Somalia na kuwaachia mashababi, eti ndio suluhu pekee ya kuzuia uvamizi wao. Ifahamike gaidi hutumia vurugu kama mtaji wake, neno 'amani' humnyima tonge, jitihada zozote za kuleta amani huwa njia za kumzuia raha.
Sasa wametoa tamko na kusema sababu zao za kuvamia hiyo hoteli ni kwamba Trump kawakera sana alipoitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel. Kawaida kwa tamko kama hilo hapo ufadhili wa hela utawafikia maana wanakua wamejipa kiki kwenye level ya ugomvi na Trump.
------------------------------------

Al-Shabaab says Trump’s Jerusalem move led to attack
The Somalia-based terrorist group, Al-Shabaab, have disclosed the motive behind a terrorist attack on an upscale area of the Kenyan capital, Nairobi, on Tuesday.

According to the group, United States president Donald Trump’s decision to recognize Jerusalem as the capital of Israel was their main motivation.

Reuters quoted a statement released by the group as saying: “The Mujahideen (holy warriors) carried out this operation … (as) a response to the witless remarks of U.S. president Donald Trump and his declaration of Al-Quds (Jerusalem) as the capital of Israel.”

The last time Al-Shabaab “clashed” with Trump was in July 2017, months after the president took office. The group in a video described Trump as a brainless millionaire whose actions was endangering Americans.

The video confirmed by the SITE Intelligence Group contained a viral video Trump tweeted about him ‘beating’ CNN – his main target in the ‘fake news’ war with a section of the U.S. media.

It also shows a masked Al-Shabaab soldier who claimed even though Americans had visions of a great nation upon the election of Trump, ‘‘what they underestimated, however, was the man’s level of stupidity,’‘ adding that what Americans got with Trump was “arguably the most stupid president a country could ever have.’‘

The soldier continues after Trump ‘beats’ CNN, to describe him as ‘‘a brainless billionaire who succeeded in making the United States, the greatest joke on earth’‘ – with a video showing Trump shoving Prime Minister of Montenegro during a NATO summit in May this year.
According to him, just six-months in charge and the American electorate wish they could turn back the hands of time to elect a more rational and mature candidate.
About the group Al-Shabaab
Al-Shabaab controls parts of Somalia and has staged attacks in neighbouring countries especially in Kenya. They are opposed to democracy and are pushing to establish a country run on strict Islamic law – Sharia.
They control areas of the rural parts of the Horn of Africa country. They enforce compliance to strict Islamic rules including cutting hands of thieves and stoning to death. They have their own courts, police and educational systems.
Successive Somali governments have vowed to crush the militants with President Farmaajo offering them amnesty soon after coming into office, he asked them to come to the negotiation table.
The group has continually called the government’s bluff and has claimed a series of bomb attacks on civilian populations and some military installations. A 2016 Intergovernmental Authority on Development (IGAD) report labeled them as a transnational security threat in East Africa.
The Al-Qaeda affiliated group is currently fighting the Somali national army and an African Union force (AMISOM) which pushed them out of Mogadishu years back. The U.S. also offers technical support to the government in the fight.

Kenya attack death toll hits 21, Al-Shabaab cites Trump as motivation | Africanews
Mkuu,

Kwanza ungejaribu kuchunguza ownership ya hio hotel au ni akina nani nyeti walikuwa wame-book hapo siku ya hilo tulikio la kigaidi.

Mara nyingi magaidi huwa wanachagua targets zao kwa malengo maalum ili kufikisha ujumbe waotaka kwa wahusika in the most frightening way. Akina yakhe tusohusika tunaokutwa hapo siku ya tukio hua ndio kama mbuzi wa kafara/collateral damage....
 
You're smart, it doesn't make sense, wangevamia balozi ya us basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaogopa Marekani wanajua watafinywa makend*. Wamedhani sisi ndio wanyonge wakaamua kutulemea. Hata hivyo kila mmoja wao amefunguliwa ubongo, umeona picha? Kichwa yao imefunguliwa na ubongo kumwagika nje. Hapan cheza na Kenya.
 
Mkuu,

Kwanza ungejaribu kuchunguza ownership ya hio hotel au ni akina nani nyeti walikuwa wame-book hapo siku ya hilo tulikio la kigaidi.

Mara nyingi magaidi huwa wanachagua targets zao kwa malengo maalum ili kufikisha ujumbe waotaka kwa wahusika in the most frightening way. Akina yakhe tusohusika tunaokutwa hapo siku ya tukio hua ndio kama mbuzi wa kafara/collateral damage....

Nimecheka hapo pa akina yakhe, ila kama Alshabaab wana haja ya kuwaua Wakenya wengi, wangekuja huku kitaani tulipo, lakini nia yao kubwa ni kutafuta kiki za kimataifa wasikike.
 
Back
Top Bottom