Alshabaab wajitoa mhanga na kuivamia kambi ya jeshi la Ethiopia

Alshabaab wajitoa mhanga na kuivamia kambi ya jeshi la Ethiopia

Wanataka kuifanya Somalia iwe kama SAUDI ARABIA TOTAL SHARIA LAW ON ALL PEOPLE IN SOMALIA...
Kwani Saudi ndio iko kama wao? Mbona huko kila mwenye Dini yake habughudhiwi na anaingia kama kawaida wakiwemo watalii? Na kuna mahoteli ya wageni n.k, wao alshabaab wanachotaka ni utajiri tu kwa kutumia waislam waliokuwa brainwashed wakiamini wanamtumikia Mungu kumbe shetani. Kutwa wanakatana shingo tu, hata wanachotaka hakieleweki!
 
Forums? Hivi unadhani mawazo ya wananchi wa nchi za kiafrica utayakuta forums, afrika wachache sana tuna access na internet jombaa, sembuse forums, tena Somalia. Kwa iyo kama wewe ulichukulia mawazo ya wasomali wa mtandaoni, naomba nikufahamishe hicho si kithibitisho tosha.

Most somalis are abroad mkuu Kenya pekee wako 1mn Ethiopia wamo kama 500k total dunia mzima 3mn wako majuu.... Trust me Ingia forum zao usome

Somalia is 647,000km²
With a total population of 2mn as of last census in 1991 sai they estimate somalis from Somalia around the world including Somalia number about 12mn

Half of them are living in the west...... Hii country ikiwa stable we have reason to fear since they all are educated and rich abroad!!!
 
Kwani Saudi ndio iko kama wao? Mbona huko kila mwenye Dini yake habughudhiwi na anaingia kama kawaida wakiwemo watalii? Na kuna mahoteli ya wageni n.k, wao alshabaab wanachotaka ni utajiri tu kwa kutumia waislam waliokuwa brainwashed wakiamini wanamtumikia Mungu kumbe shetani. Kutwa wanakatana shingo tu, hata wanachotaka hakieleweki!

Haya basi mkuu chukua bibilia Ingia jeddah kama umeiweka mkononi ndio utambue
 
Back
Top Bottom