Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nawe ni miongoni mwao wavaao sidiria? Aka tanganyika jekiπMashati, blauzi,magauni, sketi na nguo nyingine, zinapoisha tunazigeuza kuwa madekio . Chupi zikiisha twazifanyia Nini?
Sidiria twazigeuza kuwa barakoa, hata soksi π·π·π·π·π·.
Chupi sasa.....
Hakigeuziki kuwa barakoa?Chupi hua kama karatasi' yani kianxisha moto wakati wa kuchoma taka
Barakoa hapana kwa kweli[emoji38]Hakigeuziki kuwa barakoa?
Njoo Ferry ujionee miujiza na mauzauza, hata mapwido yavishwa barakoa.Barakoa hapana kwa kweli[emoji38]
Mapwido ni mann[emoji848] au ndo vyupiNjoo Ferry ujionee miujiza na mauzauza, hata mapwido yavishwa barakoa.
MapumbunaizoMapwido ni mann[emoji848] au ndo vyupi
Mapumbunaizo meeeen.Mapwido ni mann[emoji848] au ndo vyupi
Wee hebu sikiza interview ya Zahir Ally ZorohAisee
[emoji38]Mapumbunaizo meeeen.
Unatafuta ban au mama Yake ban?