nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
We ndio unawapenda hao mabwege wenzio ulowatajaUfashisti ulikuwa mbaya sababu ya Hitler, ila Jamii yenywewe hupenda viongozi wenye asili ya Ufashisti.
mfano hapata Tanzania Lissu na Makonda wanapendwa sana sababu wana mchanganyiko wa Ufashisti.
Ufashisti kwa tafsiri nyingine ni Undugu/Brotherhood
Siasa za Ujerumani ni ngumu sana kuzielewa.
But all in all, Siasa kali za unazi za mrengo wa kulia bado zinaogopwa Sana nchini Ujerumani. Zimwi la Dikteta Adolf Hitler, Dikteta Benito Mussolini na Dikteta Stallin bado linawatesa sana Watu wa
Yote haya yanasababishwa na mambo ya hovyo ya hawa wahamiaji, kuanzia waarabu ,waafrika na walatinoWiki iliyopita tumeona Hadi Elon musk amepigia Debe chama hiki AfD kishinde uchaguzi.
Endapo AfD wakichukua madaraka tutegemee ujerumani itasafishwa kwelikweli hasa Kwa waarabu na waafrica..
Wajerumani asilia ni hawa AfD hawa ni zaidi ya Nazis ya akina Hitler
Waache na maisha yaoKwanini yasinihusu wakati likilipuka bomu namimi nitafia hapo?!
Hapa tunashauriana hakuna anayemlazimisha mtu.Waache na maisha yao
Huwezi kushauri kwa sababu watu wana mitazamo tofauti na tamaduni.Hapa tunashauriana hakuna anayemlazimisha mtu.
Sasa nini lengo la hizi platforms au ni kuongelea miziki ya Diamond?Huwezi kushauri kwa sababu watu wana mitazamo tofauti na tamaduni.
Binafsi jaribu kuheshimu watu wanachokiamini ,mambo mengine ni madogo madogo.Sasa nini lengo la hizi platforms au ni kuongelea miziki ya Diamond?
Siasa Kali za mrengo wa kulia na kushoto Ni hatari Sana Hawa akina Trump, putin,magufuli and etc hapana kabisaatukashuhudia
Ninaamini kwenye free speech siogopi kusema kile ninachokifikiri kifo kitakuja ti hata nikinyamaza.Binafsi jaribu kuheshimu watu wanachokiamini ,mambo mengine ni madogo madogo.
Umemuona yule aliykuwa anachoma Qur an kila muda ? Yuko wapi sasa?
Free speech nyuma ya keyboard?😅😅sasa mengine hayakuhusu.Ninaamini kwenye free speech siogopi kusema kile ninachokifikiri kifo kitakuja ti hata nikinyamaza.
Sasa ulitaka niongelee wapi wakati mimi Dereva kila siku niko Barabarani na misimamo yangu hata huku uraiani watu huwa wanaijua na wengine huwa wanakasirika lakini maisha yanaenda.Free speech nyuma ya keyboard?😅😅sasa mengine hayakuhusu.
😅😅Sasa ulitaka niongelee wapi wakati mimi Dereva kila siku niko Barabarani na misimamo yangu hata huku uraiani watu huwa wanaijua na wengine huwa wanakasirika lakini maisha yanaenda.
Karne zote nusu ya kwanza ya kila karne huwa ni amsha amsha. Mambo huja kutulia nusu ya pili.Dunia inapitia mchakato mkubwa wa mabadiliko. Si ajabu kuona afd ikishinda. Sijajua kwetu tz itakuwaje maana naona wakubwa wanazidi kulazimisha maji kupanda mlima.
Hii ni definition na matokeo ya mwisho ya Ufashist, mwanzo wa Ufashist ni kama Siasa za Lissu na Makonda.Hii ndio definition ya Fascism unaona Lissu anazo hizi sifa?!🤔
Fascism is a far-right, authoritarian, and ultranationalist political ideology and movement, characterized by a dictatorial leader, centralized autocracy, militarism, forcible suppression of opposition, ...
Au ulikuwa una maana Magufuli.
Ufashist unahusishwa na Hitler Ndio maana unaonekana na mbaya, but Jamie zote at one stage huwa zina practice Ufashist.Huwa nawashangaa waafrika wanashobokea mafashisti ya kizungu kama Trump, Elon Mask, Netanyahu, Putin, AfD, Marie La Pen N.K
Ni kukosa elimu.
Nadhani lengo lilikuwa ni kwamba Raisi Mkali atakayezuia wizi na upigaji Serikalini na sio Dikteta one man show Alfa na Omega.Idea ya maneno ya Tanzania tunatoka Rais dikteta yalikuwa ya Lissu au Chadema yote
Kwani hao waarabu si walipokelewa na Serikali ya Germany kwa mikono 2,baada ya kuona nguvu kazi inakwisha.Hao waarabu inafaa wafukuzwe tu warudi makwao utawalazimishaje watu wafuate utamaduni wako wakati hapa duniani kila jamii ina utamaduni wake unaotofautiana na wa jamii zingine na ndivyo Mungu alivyoweka kulingana na settings zake.
Punguza kuokota propaganda za wanaochukia uislamJi elimishe Mtanzania mwenzangu. Wewe mpaka leo hii huwajui muslim brotherhood! Hujui kuwa baada ya kufukuzwa Egypt wakaenda Saudia, ndiyo wao walioleta imani za Wahaabi kule saudia na baadae saudia kuwafukuza! Haujui kuwa kwa sasa pesa za Qatar ndiyo zina finance muslim brotherhood huko ulaya na America. Na hizi hapa ndiyo siasa zao za Kishetani
View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1892907324806750490