Aluminium in Vaccines is extremely bad news for our children: It enters the brain and stays there

Aluminium in Vaccines is extremely bad news for our children: It enters the brain and stays there

Nani atakuletea paper yeyote kwa mtizamo wa awali kama huu,👉Kucopy article na ku paste hapa ni very simple👈.Kaa na umbumbumbu wako na matango mwitu uliyolishwa na mabeberu.Akili zingine jamani kama za Bata vile,hivi beberu linaweza kuwa na kitu chema kweli,mbona hakuna.
Umekimbilia kulalamikia mabeberu.
Ujajibu swali lolote?
Lete hizo research hapa tuzipitie na sisi tujiridhishe kuwa ni kweli vaccines zina sumu.

Nataka niku prove kuwa wewe ni muongo na unaikosea adabu hii platform.

RAHA YA SAYANSI INAKUPA NAFASI YA KU PROVE UNACHOKIAMINI IN REAL WORLD.
Nataka unionyeshe hizo sumu ziko wapi katika vaccine ya pfizer

Tuichambue vaccine hii hapa inaitwa Pfizer.
Tanzania pia ililetewa hizi vaccine na EU.

Hii vaccine ime contain
  • Active Ingredient
    • nucleoside-modified messenger RNA (modRNA) encoding the viral spike glycoprotein (S) of SARS-CoV-2
  • Lipids
    • (4-hydroxybutyl)azanediyl)bis(hexane-6,1-diyl)bis (ALC-3015)
    • (2- hexyldecanoate),2-[(polyethylene glycol)-2000]-N,N-ditetradecylacetamide (ALC-0159)
    • 1,2-distearoyl-snglycero-3-phosphocholine (DPSC)
    • cholesterol
  • Salts
    • potassium chloride
    • monobasic potassium phosphate
    • sodium chloride
    • basic sodium phosphate dihydrate
  • Other
    • sucrose
Hebu niambie sasa hizo sumj ni zipi hapo?

Reference
 
Umekimbilia kulalamikia mabeberu.
Ujajibu swali lolote?
Lete hizo research hapa tuzipitie na sisi tujiridhishe kuwa ni kweli vaccines zina sumu.

Nataka niku prove kuwa wewe ni muongo na unaikosea adabu hii platform.

RAHA YA SAYANSI INAKUPA NAFASI YA KU PROVE UNACHOKIAMINI IN REAL WORLD.
Nataka unionyeshe hizo sumu ziko wapi katika vaccine ya pfizer

Tuichambue vaccine hii hapa inaitwa Pfizer.
Tanzania pia ililetewa hizi vaccine na EU.

Hii vaccine ime contain
  • Active Ingredient
    • nucleoside-modified messenger RNA (modRNA) encoding the viral spike glycoprotein (S) of SARS-CoV-2
  • Lipids
    • (4-hydroxybutyl)azanediyl)bis(hexane-6,1-diyl)bis (ALC-3015)
    • (2- hexyldecanoate),2-[(polyethylene glycol)-2000]-N,N-ditetradecylacetamide (ALC-0159)
    • 1,2-distearoyl-snglycero-3-phosphocholine (DPSC)
    • cholesterol
  • Salts
    • potassium chloride
    • monobasic potassium phosphate
    • sodium chloride
    • basic sodium phosphate dihydrate
  • Other
    • sucrose
Hebu niambie sasa hizo sumj ni zipi hapo?

Reference
Dah,uliyoandika hapo tunayajua na ni kweli hizo ingredients zipo,lakini je unajua athari zake kwa binadamu?
Na hivi unaaminije taarifa ya Pfizer,Johnson&Johnso,AstraZeneca,Moderna,Novavax,BioNTech au hata CDC,FDA na WHO.Hawa ni lazima waseme uongo,wanalinda maslahi yao.Labda nikuulize unajua hiyo mRNA ni kitu gani hasa, na inakwenda kufanya nini mwilini?Kwa taarifa yako ni Microsoft Windows mRNA 666 Operating System ambayo inapeleka message kwenye DNA ya kutengeza Spike Protein ambayo ni sumu mbaya zaidi kuwahi kutengeneza na Binadamu.Ukiangalia hizo contents utagundua kwamba kuna mahali wametaja Spike Glycoprotein ambayo ndiyo sumu yenyewe hasa.Mkuu kwenye hizo contents wameficha sumu mbaya zaidi kama Graphene Oxide ambayo ndiyo itakayotumika ku-activate the C-19 vaccine,so mziki bado,the worst is yet to come.
Mkuu be intelligent,amini taarifa from independent organizations and independent institutions.Ukweli ni huu hapa!⬇️

 
Dah,uliyoandika hapo tunayajua na ndiyo matango mwitu yenyewe.Hivi unaaminije taarifa ya Pfizer,Johnson&Johnso,AstraZeneca,Moderna,Novavax,BioNTech au hata CDC,FDA na WHO.Hawa ni lazima waseme uongo,wanalinda maslahi yao.Tunaamini taarifa from independent organizations and independent institutions.Ukweli ni huu hapa!
Mathanzua ndo maana nimekuambia hii field ya afya achana nayo.
Ujanijibu bado kwenye hizo ingredients ziko wapi aluminium na mecury?
Unazunguka tu unakwepa swali la msingi?
Uache kuokoteza taarifa huko mtandaoni nakuja kuzipost katika jukwaa la intelligence.
Unashusha hadhi ya jukwaa hili kwa thread ambazo hazina hadhi ya intelijensia.

No research no right to speak
 
Mathanzua ndo maana nimekuambia hii field ya afya achana nayo.
Ujanijibu bado kwenye hizo ingredients ziko wapi aluminium na mecury?
Unazunguka tu unakwepa swali la msingi?
Uache kuokoteza taarifa huko mtandaoni nakuja kuzipost katika jukwaa la intelligence.
Unashusha hadhi ya jukwaa hili kwa thread ambazo hazina hadhi ya intelijensia.

No research no right to speak
Naokoteza?Kwa taarifa yako mimi ni Microbiologist mbobezi kwa hiyo najua ninachongelea,sibahatishi.Hata ukitaka CV yangu nitakuletea,ingawa itakuwa ni kujivuna,na mimi sina tabia hiyo.Narudia tena sibahatishi!

Hata hivyo nimekuletea taarifa fupi niliyokuwa naiandaa,kwa hiyo comment nilikuwa sijaimalizia.

Naona sina sababu ya kukuletea taarifa kidogo kidogo,nikupe complete package. Kujua the whole truth about the C-19 killer shot,follow this link👇,nimeshaifanyia C-19 utafiti wa kina na wa kutosha,kwa hiyo utapata taarifa zote na contents zote hapo. Only be a good reader.


Unajua,sipendi sana kubishana kuhusu jambo hili,kwa kuwa wataalamu wa kweli wenye nia njema na wanadamu wanajua kwamba vaccines zote without exception ni mbaya.Binafsi namshangaa sana binadamu kama wewe anayetetea sumu hizi na uovu huu,huku wanadamu wakizidi kuangamia.Ngoja ni reserve my words,ila kiukweli mnaudhi,and I dare say you are too ignorant.Kukusaidia kujua ubaya wa chanjo zingine apart from the called C-19 kill shot,fuata link ifuatayo⬇️.Again,only be a good reader.

Mwisho,naomba ukimaliza usisahau kunishukuru kwa kukupa elimu nzuri.


 
Mkuu zipo scientific papers nyingi sana ambazo zimeweka bayana contents za vaccines na athari za kila content kwa binadamu,so kwa wataalamu wa kweli,sio vihiyo,this is not new.Mkuu kwa taarifa yako kwenye hizo zinazoitwa Vaccines kuna hata Mercury(Hg) na foetal material,na Hg is poisonous.
Wewe ni mgonjwa wa akili, unapaswa kushikiliwa kwenye kitengo cha wagonjwa wa akili.
 
Naokoteza?Kwa taarifa yako mimi ni Microbiologist mbobezi kwa hiyo najua ninachongelea,sibahatishi.Hata ukitaka CV yangu nitakuletea,ingawa itakuwa ni kujivuna,na mimi sina tabia hiyo.Narudia tena sibahatishi!

Hata hivyo nimekuletea taarifa fupi niliyokuwa naiandaa,kwa hiyo comment nilikuwa sijaimalizia.

Naona sina sababu ya kukuletea taarifa kidogo kidogo,nikupe complete package. Kujua the whole truth about the C-19 killer shot,follow this link👇,nimeshaifanyia C-19 utafiti wa kina na wa kutosha,kwa hiyo utapata taarifa zote na contents zote hapo. Only be a good reader.


Unajua,sipendi sana kubishana kuhusu jambo hili,kwa kuwa wataalamu wa kweli wenye nia njema na wanadamu wanajua kwamba vaccines zote without exception ni mbaya.Binafsi namshangaa sana binadamu kama wewe anayetetea sumu hizi na uovu huu,huku wanadamu wakizidi kuangamia.Ngoja ni reserve my words,ila kiukweli mnaudhi,and I dare say you are too ignorant.Kukusaidia kujua ubaya wa chanjo zingine apart from the called C-19 kill shot,fuata link ifuatayo⬇️.Again,only be a good reader.

Mwisho,naomba ukimaliza usisahau kunishukuru kwa kukupa elimu nzuri.


Kadanganye wajinga wenzako huko. Wewe ni muhuni kama wahuni wengine tu. Hauna taaluma yoyote ya afya...
Hakuna chochote ulicholeta hapa kuwa umekiresearch maabara..
Huna elimu yoyote ya afya..
Hujui chochote kuhusu afya.

Hauna mada yoyote yenye level ya jamii intelligence.

Hebu jaribu kuzipeleka hizi mada kwenye jukwaa la jamii health.

Kama Yoda alivyokueleza una tatizo la akili.. jitahidi uwahi mirembe otherwise muda siyo mrefu utaanza kuokota makopo.
 
Naokoteza?Kwa taarifa yako mimi ni Microbiologist mbobezi kwa hiyo najua ninachongelea,sibahatishi.Hata ukitaka CV yangu nitakuletea,ingawa itakuwa ni kujivuna,na mimi sina tabia hiyo.Narudia tena sibahatishi!

Hata hivyo nimekuletea taarifa fupi niliyokuwa naiandaa,kwa hiyo comment nilikuwa sijaimalizia.

Naona sina sababu ya kukuletea taarifa kidogo kidogo,nikupe complete package. Kujua the whole truth about the C-19 killer shot,follow this link👇,nimeshaifanyia C-19 utafiti wa kina na wa kutosha,kwa hiyo utapata taarifa zote na contents zote hapo. Only be a good reader.


Unajua,sipendi sana kubishana kuhusu jambo hili,kwa kuwa wataalamu wa kweli wenye nia njema na wanadamu wanajua kwamba vaccines zote without exception ni mbaya.Binafsi namshangaa sana binadamu kama wewe anayetetea sumu hizi na uovu huu,huku wanadamu wakizidi kuangamia.Ngoja ni reserve my words,ila kiukweli mnaudhi,and I dare say you are too ignorant.Kukusaidia kujua ubaya wa chanjo zingine apart from the called C-19 kill shot,fuata link ifuatayo⬇️.Again,only be a good reader.

Mwisho,naomba ukimaliza usisahau kunishukuru kwa kukupa elimu nzuri.


Yoda amekupa ushauri mzuri sana.. una matatizo ya akili fanya jitihada nenda mirembe hospital... Muda siyo mrefu utaanza kubeba makopo.

Hujui chochote kuhusu taaluma ya afya unakuja kutulisha chai hapa kiwa wewe ni microbiologist.

Hauna elimu yoyote ya afya wewe.
Hiyo link ya mwisho imeandikwa 2018 wakati covi 19 imetrend 2019 na 2021 ndo chanjo zilianza kutoka...unaenda goigle unacopy link bila kuzisoma kama siyo uchizi huu ni nini?🤣🤣🤣🤣.
 
Kadanganye wajinga wenzako huko. Wewe ni muhuni kama wahuni wengine tu. Hauna taaluma yoyote ya afya...
Hakuna chochote ulicholeta hapa kuwa umekiresearch maabara..
Huna elimu yoyote ya afya..
Hujui chochote kuhusu afya.

Hauna mada yoyote yenye level ya jamii intelligence.

Hebu jaribu kuzipeleka hizi mada kwenye jukwaa la jamii health.

Kama Yoda alivyokueleza una tatizo la akili.. jitahidi uwahi mirembe otherwise muda siyo mrefu utaanza kuokota makopo.
Uliyotaka nimekupa,nakudanganya vipi tena.Sasa ukweli ni upi,hayo matango ya mabeberu uliyolishwa!Ni lazima utakuwa agent wao,brainwashed na enslaved,sio bure.Na dah,mhuni anaweza kujua science niliyoshusha kweli.Wewe kichwani una shida kubwa.Nirudie tena,mimi ni mtaalamu mbobezi wa Microbiology,Ila wewe ni wazi ni muokotezaji tu vitaarifa vya Pfizer ambavyo hata huvielewi.

Na kwa nini hujadai CV yangu ili uweze kujua kama mimi ni mhuni au laa.Kwa kina cha maelezo yangu na taarifa nilizokupa,right inside you hata kama hutaki kukiri,unajua kwamba mimi ni mtaalamu kweli kweli.

Let me say this,wewe ni garagaja na mchumia tumbo proper,unayetegemea vijicent vya mabwana zako mabeberu kwa kunadi sera zao ovu kabisa dhidi ya ubinadamu.Ni aibu mambo unayofanya,kwa kuwa uovu wako haukuathiri wewe tu,lakini unaathiri ndugu zako wote na wanadamu wote kwa ujumla.Most importantly naomba ukumbuke kwamba God is watching you,and at an appointed time you will have to answer for your actions.
 
Nani atakuletea paper yeyote kwa mtizamo wa awali kama huu,👉Kucopy article na ku paste hapa ni very simple👈.Kaa na umbumbumbu wako na matango mwitu uliyolishwa na mabeberu.Akili zingine jamani kama za Bata vile,hivi beberu linaweza kuwa na kitu chema kweli,mbona hakuna.
Unanifurahisha ukiombwa ushahidi unavyokimbilia kuita watu mbumbumbu.

Huna akili.

You are just a fool with a smartphone.
 
Consiparcy theorists wamejaa mitandaoni wanaandika ujinga mwanzo mwisho.
 
Unanifurahisha ukiombwa ushahidi unavyokimbilia kuita watu mbumbumbu.

Huna akili.

You are just a fool with a smartphone.
Hivi fool ni nani,wewe unayetumiwa kama karai la zege na mabeberu kuwasaidia kuua ndugu zako and your fellow humans au mimi ninayesimama kidete ku-expose the evil.You be the judge.Castr you are a very evil man na kuanzia sasa nakuweka kwenye ignore list,you have nothing to offer me in terms of knowledge.
 
Yoda amekupa ushauri mzuri sana.. una matatizo ya akili fanya jitihada nenda mirembe hospital... Muda siyo mrefu utaanza kubeba makopo.

Hujui chochote kuhusu taaluma ya afya unakuja kutulisha chai hapa kiwa wewe ni microbiologist.

Hauna elimu yoyote ya afya wewe.
Hiyo link ya mwisho imeandikwa 2018 wakati covi 19 imetrend 2019 na 2021 ndo chanjo zilianza kutoka...unaenda goigle unacopy link bila kuzisoma kama siyo uchizi huu ni nini?🤣🤣🤣🤣.
Yaani a akili yako pumba kabisa.Hata huja-note kwamba link ya mwisho haiongelei Covid,unapayuka tu.Link ya mwisho inaongelea Vaccines zingine,wala sio Covid killer shot,na hiyo ndiyo iliyokuwa maana yangu,kuonyesha kwamba chanjo zingine pia ni mbaya.

Lastly,naomba nikuambie hivii,mimi ni zaidi ya mtaalamu wa kawaida wa afya wa Wizara,na wataalamu wepi wa afya kwanza,hawa walioshindwa kum-confront Gwajima na ku-challenge hoja zake kisayansi,hovyo kabisa!Wameishushia sana Wizara hadhi.Inaonekana wazi kwamba hatuna wataalamu wa afya wenye weledi unaohitajika,otherwise tusinge-handle swala la Covid na vaccines kwa ujumla Kama tunavyo handle.Wataalamu wetu wana copy tu na ku-paste directives from Western goverments,and this is wrong.As scientists walipashwa kuwa na misimamo wao based on true science and based on our local conditions.Kwa hali ilivyo Sasa,it's a real mess.
 
Ujajibu chochote nikichokuuliza kwa sababu hujui lolote kuhusiana na virology wala microbiology.
Nakuuliza tena
Hiyo aluminium na mecury ulizozitaja ktk kichwa cha hii thread zinapatikana katika vaccine ipi?
Bahati nzuri wizara ya afya wako humu jamvini kuipeleka hiyo vaccine utakayotutajia kwa mkemia mkuu tukai decode siyo gharama hata.

Siwezi kukuuliza CV yako kwa sababu hauna elimu yoyote kuhusiana na chochote kinachohusu afya ya binadamu.

Kama siyo uchizi unadhani ninachokueleza hapa ni kwa sababu nalipwa?
Kwa akili yako unadhani una influence yoyote hapa duniani kuwa against science kwa kukotoa articles za conspiracy theories mtandaoni na kuja kuzipaste hapa JF ndo utakuwa umeuzia science?
Science hupingwa kwa research.
Labda unachosema ni kweli lakini ushahidi wa hicho unachokisema uko wapi?

In the world of information ignorance is a choice.
Vaccine zote details zake za muhimu zinapatikana
By mfano nkakuonyesha ingredients za pfizer vaccine hakuna sehemu yoyote imewekwa aluminium na mecury.



Hii ndo research yako uliyoileta hapa ku prove kuwa ukifanya research ya covid 19?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #COVID19 - Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Hii ni thread siyo research hakuna chochote ulichoandika hapa tunachoweza ku consider ni research paper.


Hapa jamii intelligence hoja hujibiwa kwa hoja... Ndo maana halisi ya intelijensia usikimbilie mambo ya mabeberu...jibu hoja kwa hoja zenye mashiko.

Kwa akili ya aina hii wanaopata tabu ni familia yako kwa maana hata wakiumwa huwapatii dawa za mabeberu utawapeka kwa waganga au mitishamba...coz dawa na hospital ni science ya hao unaowaita mabeberu.









Uliyotaka nimekupa,nakudanganya vipi tena.Sasa ukweli ni upi,hayo matango ya mabeberu uliyolishwa!Ni lazima utakuwa agent wao,brainwashed na enslaved,sio bure.Na dah,mhuni anaweza kujua science niliyoshusha kweli.Wewe kichwani una shida kubwa.Nirudie tena,mimi ni mtaalamu mbobezi wa Microbiology,Ila wewe ni wazi ni muokotezaji tu vitaarifa vya Pfizer ambavyo hata huvielewi.

Na kwa nini hujadai CV yangu ili uweze kujua kama mimi ni mhuni au laa.Kwa kina cha maelezo yangu na taarifa nilizokupa,right inside you hata kama hutaki kukiri,unajua kwamba mimi ni mtaalamu kweli kweli.

Let me say this,wewe ni garagaja na mchumia tumbo proper,unayetegemea vijicent vya mabwana zako mabeberu kwa kunadi sera zao ovu kabisa dhidi ya ubinadamu.Ni aibu mambo unayofanya,kwa kuwa uovu wako haukuathiri wewe tu,lakini unaathiri ndugu zako wote na wanadamu wote kwa ujumla.Most importantly naomba ukumbuke kwamba God is watching you,and at an appointed time you will have to answer for your actions.
 
Uliyotaka nimekupa,nakudanganya vipi tena.Sasa ukweli ni upi,hayo matango ya mabeberu uliyolishwa!Ni lazima utakuwa agent wao,brainwashed na enslaved,sio bure.Na dah,mhuni anaweza kujua science niliyoshusha kweli.Wewe kichwani una shida kubwa.Nirudie tena,mimi ni mtaalamu mbobezi wa Microbiology,Ila wewe ni wazi ni muokotezaji tu vitaarifa vya Pfizer ambavyo hata huvielewi.

Na kwa nini hujadai CV yangu ili uweze kujua kama mimi ni mhuni au laa.Kwa kina cha maelezo yangu na taarifa nilizokupa,right inside you hata kama hutaki kukiri,unajua kwamba mimi ni mtaalamu kweli kweli.

Let me say this,wewe ni garagaja na mchumia tumbo proper,unayetegemea vijicent vya mabwana zako mabeberu kwa kunadi sera zao ovu kabisa dhidi ya ubinadamu.Ni aibu mambo unayofanya,kwa kuwa uovu wako haukuathiri wewe tu,lakini unaathiri ndugu zako wote na wanadamu wote kwa ujumla.Most importantly naomba ukumbuke kwamba God is watching you,and at an appointed time you will have to answer for your actions.
Ujajibu chochote nikichokuuliza kwa sababu hujui lolote kuhusiana na virology wala microbiology.

Nakuuliza tena

Hiyo aluminium na mecury ulizozitaja ktk kichwa cha hii thread zinapatikana katika vaccine ipi?

Bahati nzuri wizara ya afya wako humu jamvini kuipeleka hiyo vaccine utakayotutajia kwa mkemia mkuu tukai decode siyo gharama hata.



Siwezi kukuuliza CV yako kwa sababu hauna elimu yoyote kuhusiana na chochote kinachohusu afya ya binadamu.



Kama siyo uchizi unadhani ninachokueleza hapa ni kwa sababu nalipwa?

Kwa akili yako unadhani una influence yoyote hapa duniani kuwa against science kwa kukotoa articles za conspiracy theories mtandaoni na kuja kuzipaste hapa JF ndo utakuwa umeuzia science?

Science hupingwa kwa research.

Labda unachosema ni kweli lakini ushahidi wa hicho unachokisema uko wapi?



In the world of information ignorance is a choice.

Vaccine zote details zake za muhimu zinapatikana

By mfano nkakuonyesha ingredients za pfizer vaccine hakuna sehemu yoyote imewekwa aluminium na mecury.







Hii ndo research yako uliyoileta hapa ku prove kuwa ukifanya research ya covid 19?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #COVID19 - Let me get this straight about the COVID-19 vaccine



Hii ni thread siyo research hakuna chochote ulichoandika hapa tunachoweza ku consider ni research paper.





Hapa jamii intelligence hoja hujibiwa kwa hoja... Ndo maana halisi ya intelijensia usikimbilie mambo ya mabeberu...jibu hoja kwa hoja zenye mashiko.



Kwa akili ya aina hii wanaopata tabu ni familia yako kwa maana hata wakiumwa huwapatii dawa za mabeberu utawapeka kwa waganga au mitishamba...coz dawa na hospital ni science ya hao unaowaita mabeberu.
 
Yaani a akili yako pumba kabisa.Hata huja-note kwamba link ya mwisho haiongelei Covid,unapayuka tu.Link ya mwisho inaongelea Vaccines zingine,wala sio Covid killer shot,na hiyo ndiyo iliyokuwa maana yangu,kuonyesha kwamba chanjo zingine pia ni mbaya.

Lastly,naomba nikuambie hivii,mimi ni zaidi ya mtaalamu wa kawaida wa afya wa Wizara,na wataalamu wepi wa afya kwanza,hawa walioshindwa kum-confront Gwajima na ku-challenge hoja zake kisayansi,hovyo kabisa!Wameishushia sana Wizara hadhi.Inaonekana wazi kwamba hatuna wataalamu wa afya wenye weledi unaohitajika,otherwise tusinge-handle swala la Covid na vaccines kwa ujumla Kama tunavyo handle.Wataalamu wetu wana copy tu na ku-paste directives from Western goverments,and this is wrong.As scientists walipashwa kuwa na misimamo wao based on true science and based on our local conditions.Kwa hali ilivyo Sasa,it's a real mess.

Unaleta siasa uchwara Manthanzua..
Usiende nje ya hoja uliyoianzisha!
Achana na mambo ya Gwajima..
Ukitaka tufike huko fungua thread nyingine.
HOJA KUU: NI UWEPO WA ALUMINIUM NA MECURY KATIKA CHANJO YA COVID 19!

Nimekuuliza maswali ya msingi sisi ambao ni wajinga!
1. Ni aina ipi ya chanjo ambayo ina hizo sumu?
2. Tuletee tafiti ulizofanya ku prove uwepo wa aluminium na mecury katika chanjo.
N.b bahati nzuri umesema kuwa wewe ni microbiologist so ni rahisi kutuletea hizo tafiti.
Faida ya kufanya hivi ni rahisi kuibana wizara ya afya na FDA ili wasitishe hili zoezi.
Umeleta thread ya jamii forums ile siyo research paper tuheshimiane tafadhali.🤔

Ukiweka hizo research paper hapa tuna uwezo wa kuifungulia serikali kesi mahakamani hata tusiposhinda ila tutafungua macho raia wengi.

Fanya hivyo tumalize huu mjadala.

Leta hizo tafiti tujiridhishe tukusupport kufanya action.

Iwapo utashindwa kufanya hivi inamaana wewe ni mbabaishaji kama Gwajima na JPM.
 
Hivi fool ni nani,wewe unayetumiwa kama karai la zege na mabeberu kuwasaidia kuua ndugu zako and your fellow humans au mimi ninayesimama kidete ku-expose the evil.You be the judge.Castr you are a very evil man na kuanzia sasa nakuweka kwenye ignore list,you have nothing to offer me in terms of knowledge.
Hahaha haka kajamaa hakana hoja kakishindwa hoja kanakimbilia kuomba huruma na eti 'ignore list'
 
Ujajibu chochote nikichokuuliza kwa sababu hujui lolote kuhusiana na virology wala microbiology.
siwezi kukuuliza CV yako kwa sababu hauna elimu yoyote kuhusiana na chochote kinachohusu afya ya binadamu.

Kama siyo uchizi unadhani ninachokueleza hapa ni kwa sababu nalipwa?
Kwa akili yako unadhani una influence yoyote hapa duniani kuwa against science kwa kukotoa articles za conspiracy theories mtandaoni na kuja kuzipaste hapa JF ndo utakuwa umeuzia science?
Science hupingwa kwa research.
Labda unachosema ni kweli lakini ushahidi wa hicho unachokisema uko wapi?.
Hiyo elimu yako uchwara ya virology imesaidia nini nchi zaidi ya kuhusudu machanjo ya mabeberu huku umejikunyata uvunguni?

Toka huko uvunguni ufanye kazi taifa lifaidike kama kweli wewe ni msomi.

kukariri kariri tu... ohh virology, sijui phosphate!

Hayo mamisamiati hata chizi ana uwezo wa kuyakariri.

Mbona hatujaona utengeneze chanjo? Wakati wa COVID wote mlijificha mkawa mnachungulia dirishani mnasubiri kuona mabeberu wamesema nini.

Walipoleta machanjo yao, na nyie ndio mnaibuka mnajitia wasomi.

Acheni kudandia dandia mambo msoyajua.
 
Back
Top Bottom