ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Goal keeper wa Asec Mimosas kaitwaUnaandika kitu ambacho hakipo shirikisha ubongo haijawai kutokea na haiwezekani uitwe kucheza world cup au africon ivorycoast kama hauchezi Ulaya ,Asia,Amerca unless uwe golikipa tu.
Ma beki wa kushoto wa asac kaitwa
Acha kikariri
Sent using Jamii Forums mobile app