Am a new comer

Am a new comer

Homeboy umeshindwa kutafuta jina mbadala?, huku sio fb,
 
Awamu hii na hiyo Id yako ya kimama uchunge sana vidole vyako kwa yale utakayoyapost humu...ukiteleza kidogo tu utajikuta uko ngome kama sio kuong'olewa meno na kucha.anw karibu mkuu.
 
better ujiite new comer kuliko hio ID ulokuja nayo. fanya maarifa ubadili hilo jina. humu ndani mambo si mazuri awamu hii.
btw, karibu sana!
 
Bebe rafiki [emoji12]
I missed you
Bebe rafiki??![emoji23] [emoji23] [emoji23] .......tatizo unabanwa sana kule pm,whatsapp hadi fb!![emoji1]......halafu hata maswaibu yanayokukuta huko hata husemi sasa!!
 
Jamn jina wabadirishaje au mpaka nifungue account nyngne[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Bebe rafiki??![emoji23] [emoji23] [emoji23] .......tatizo unabanwa sana kule pm,whatsapp hadi fb!![emoji1]......halafu hata maswaibu yanayokukuta huko hata husemi sasa!!
Eee bebe rafiki
Alafu kule pm umeadimika hadi najiuliza umekumbwa na nini asee
 
Back
Top Bottom