Am a new member guys

mm natumia TECNO-306 kwahyo sioni hyo process ulionielekez mkuu,kwang inakuja tofaut kbsa kuna vbox ving sana lazm uvjaze mkuu!.
 
mm natumia TECNO-306 kwahyo sioni hyo process ulionielekez mkuu,kwang inakuja tofaut kbsa kuna vbox ving sana lazm uvjaze mkuu!.
Pengine labda huja-log in so upo kwenye page ya jf as a guest. Na hivyo vibox pengine ni vya kusign up. English si inapanda lakini?
 
Pengine labda huja-log in so upo kwenye page ya jf as a guest. Na hivyo vibox pengine ni vya kusign up. English si inapanda lakini?
Nmekumbuka, mtu hawezi kucomment kama sio registered member. Mi natumia jf new version labda kuna features zimechange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…