Mawazo yangu nikupe chaguo majina matano uyachague lakini mawili ambayo niliyapa chapuo wenzangu wameyataja ambayo ni
1.Mkwawa pure and safe drinking water.
2.Mnyalu
mengine ni:-
3.Raha
4.Iringa
5.Kamwene
...mwangaza pure drinking water
...eden pure drinking water
...mtoni pure drinking water
...mwambao pure drinking water
...isimani pure drinking water
...kilimahewa pure drinking water
nakadhalika
Mimi kwanza nikuulize, factory ipo eneo gani la Iringa?
Nipe personality yako kwa ufupi
Nipe interest zako kwa ufupi
Ntakupatia jina litakusaidia au utaunda jina mwenyewe kwa msaada wangu.