Am addicted to paying sex.

Am addicted to paying sex.

ila mzeee wa THE GUNNERS uporoto01 hajasema relation ship zake za mwanzo zilikuwaje kama alikuwa anahonga sana au vp? yeye kasema tu kwamba aliumizwa, na hiii anayofanya sasa hivi ya kununua ngono si kwamba aanahonga ili apewe ngono hapana ni kwamba analipia ngono , kuna tofauti hapo mzeee ......... au bado una hangover ya mabao ya ManU?
mkubwa ,hakuitaji kusema alikuwa anahonga kwenye kutongoza kujua hilo swala.kitendo chake cha kutaka mwanamke kwa kuhonga ndio kilimfanya aumizwe kwenye past relationship zake kwani hao wanawake hawakuwa wanampenda yeye walikuwa wanapenda pesa zake.
kununua dada poa ni mchezo wa watu wengi wanaopenda kutumia nguvu ya pesa kwenye mapenzi. hakuitaji kufafanua zaidi kwangu kumjua tabia yake.
 
Uporoto01 - mbona unaangusha bana.

Mbu once said - two things he would never pay to have, sex and water.....because they both come for free...........oooops it was Ice Cube who said that. Ma'bad Mbu!
 
Tofia kwaa!! God forbide. sasa unaelekea pabaya, bora mtafute Mshauri nasaa akuasaidie.
 
Uporoto01 - mbona unaangusha bana.

Mbu once said - two things he would never pay to have, sex and water.....because they both come for free...........oooops it was Ice Cube who said that. Ma'bad Mbu!

...😀 ha aha...wewe unacheza bana, nisinunue maji mchezo na joto la darisalama!
 
...nionacho mimi ni 'ulevi' alionao Uporoto. Addiction si ulevi? yeye anapokuwa na 'mtingo wa mawazo' hujiliwaza kwa kutafuta mwanamke wa kununua...

asaidiweje???

Hili linahitaji wataalamu waliobobea katika mambo ya therapy ili wamsaidie mwenzetu na tatizo hili. Ni addiction mbaya sana kama zilivyo addiction nyingi ambayo inaweza kabisa kuhatarisha maisha yako.
 
Hili linahitaji wataalamu waliobobea katika mambo ya therapy ili wamsaidie mwenzetu na tatizo hili. Ni addiction mbaya sana kama zilivyo addiction nyingi ambayo inaweza kabisa kuhatarisha maisha yako.

Hebu copy and paste articles za therapy kuhusu hilo jambo umsaidie mwenzio...
 
Hebu copy and paste articles za therapy kuhusu hilo jambo umsaidie mwenzio...

Wewe unayevurumusha matusi ya nguoni halafu unaboreka kwa kucopy na kupaste!!!!! Lakini matusi ya nguoni yanayotoka katika mdomo wako mchafu huboreki nayo hayo matusi!!!!! Ha ha ha ha kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!!!!! Hapa JF copy and paste ni kama kazi, kama hutaki kajinyonge hutakuwa wa kwanza kufanya hivyo, lakini huna uwezo wowote wa kunizuia mimi kutuma kile ninachotaka kutuma mimi hapa jamvini. WE URIE TU!!!!! 🙂
 
Wewe unayevurumusha matusi ya nguoni halafu unaboreka kwa kucopy na kupaste!!!!! Lakini matusi ya nguoni yanayotoka katika mdomo wako mchafu huboreki nayo hayo matusi!!!!! Ha ha ha ha kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!!!!! Hapa JF copy and paste ni kama kazi, kama hutaki kajinyonge hutakuwa wa kwanza kufanya hivyo, lakini huna uwezo wowote wa kunizuia mimi kutuma kile ninachotaka kutuma mimi hapa jamvini. WE URIE TU!!!!! 🙂

unaboa na copy na paste zako
 
Ndugu yangu uporoto wala usiwasikilize huo ushauri.
Pesa zako na hakuna anayejua kama ukata unakukuta, labda unazo nyingi na wataka kugawa ila lazima umege mzigo.
Hata mimi hicho kitu na-support kuepusha rabsha zisizo na maana na hawa wadudu walioumbwa kwa ajili yetu.Endelea kupenyeza rupia mazee, kandamiza kwa kwenda mbele.....
 
why dont you consult the psychologist.

...Tatizo si tatizo mpaka litapoanza kuwa tatizo. kuliweka hapa uwanjani ili kupata ushauri ni njia mojawapo ya kutafuta ushauri wa kulitatua tatizo lake,

BTW, huenda ushauri wako pia utamsaidia!
 
unaboa na copy na paste zako

Matusi yako ya nguoni yanaonyesha hiyo misokoto imeharibu kabisa akili hata taratibu za kila siku katika maisha ambazo mtoto wa miaka mitatu anaweza kuzifuata wewe zimekushinda kabisa. Wako watu chungu nzima wanasoma copy and paste na kuchangia pia wewe ambaye akili yako ni finyu kuweza kuconcentrate na kuelewa nini kilichoandikwa katika kucopy and paste hizo achana nazo. Unaweza kuelewa mistari miwili tu ikizidi hapo akili haifanyi kazi maana imeshaharibika na attention span yako ni sawa na ya mtoto. Ha ha ha ha ha ha ha
 
Matusi yako ya nguoni yanaonyesha hiyo misokoto imeharibu kabisa akili hata taratibu za kila siku katika maisha ambazo mtoto wa miaka mitatu anaweza kuzifuata wewe zimekushinda kabisa. Wako watu chungu nzima wanasoma copy and paste na kuchangia pia wewe ambaye akili yako ni finyu kuweza kuconcentrate na kuelewa nini kilichoandikwa katika kucopy and paste hizo achana nazo. Unaweza kuelewa mistari miwili tu ikizidi hapo akili haifanyi kazi maana imeshaharibika na attention span yako ni sawa na ya mtoto. Ha ha ha ha ha ha ha

Na hii umecopy na ku paste toka kwa nani? Kibabu mnoko mwenzio?
 
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.

So tukuelewe vipi wewe?
 
Na hii umecopy na ku paste toka kwa nani? Kibabu mnoko mwenzio?

Ha ha ha ha grandson,

This person should not be given any permission to read anything which has more than 2 lines due to the fact that more than 75% of his brain has been destroyed due to heavy smoking of marijuana for more than 10 years now. Ulidhani kuvuta majani makavu utaonekana wa MUJINI sasa umeharibikiwa!!! Ndiyo matatizo ya kutelekeza watoto majuu bila ya kuwa na direction yoyote.

Also, his attention span is very low and equivalent to a minor child who is 2 or 3 years of age. Ha ha ha ha I now know where you coming from when it comes to copy and paste. YOU DON'T HAVE ANY ABILITY TO COMPREHEND A WRITTEN MATERIAL, DOCUMENT OR ARTICLE WITH MORE THAN 2 LINES. Ha ha ha ha nenda wakakuwahi kuitibu hiyo brain uliyoijeruhi kwa miaka mingi ya kuabuse vitu usivyoviweza kabla haijawa a TOTAL WASTE. Ha ha ha ha 🙂
 
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.

Bwana mdogo ulinkonyofu fijo. Na pia kumbuka:


DON’T GO THE WAY LIFE TAKES YOU, BUT TAKE THE LIFE THE WAY YOU GO.
AND REMEMBER YOU ARE BORN TO LIVE AND NOT LIVING BECAUSE YOU ARE BORN.
 
...Excitements gani mkuu, hizo pesa ulioitolea jasho mwezi mzima unaenda kujinafsi kwa dakika tano bro? acha bana!

hs2ugh.gif
 
unaboa na copy na paste zako

Ability to comprehend any article with more than 2 lines ZERO
Ability to behave to the acceptable standards or manners among his peers ZERO.
Plenty of ability to show negative attitude towards his peers and usage of foul languange especially against women. This is due to very low ATTENTION SPAN due to heavy usage of marijuana.

Uliparamia tu majani makavu bila kujua athari yake ha ha ha ha sasa umeharibikiwa. HOUSTON WE HAVE A HUGE PROBLEM!!! Ha ha ha ha ha

Kuna wanachama zaidi ya 11,000 hapa jamvini, wanaolalamikia copy and paste hawafikii hata watano ha ha ha ha na unategemea nikusikilize wewe mwenye very low attention span na zaidi ya 75% ya akili yako imesharibiwa na bangi ha ha ha ha. Grandson, you're NOBODY I repeat NOBODY on this forum and don't try to pretend that you're somebody and to dictate what you like and don't like on JF. Tafuta muda wa kaitibu hiyo brain kabla haijaharibika kabisa maana sasa hivi capacity yake ni less that 25%.

Have a great weekend 🙂
 
Back
Top Bottom