I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.
Mkuu Kilambi kwani wanaume waliooa hawatumii 'sabuni'?endelea kula bata baba! kwanza hao wa kununua wako poa sana tuu na salama! ukimalizana naye humjui...no presha, uhuru wako unabaki nao, siku huna hela unakuwa karibu zaidi na sabuni, ila ukizoea sana mkuu hata ukijapata mke stimu haipandi hadi umlipe!!
Hongera kwa kupata suluhisho la tatizo, all the best."Hii iliwahi kunitokea pale Breakpoint nilikuwa nimekaa na rafiki yangu tunapata konyagi ghafla akaja muhudumu na kutuletea mzinga . Tukamwambia mbona ya kwanza hatujamaliza na hatukuagiza ingine? akasema kaka nimeagizwa na dada yule aliekaa pale anaomba ukimaliza na rafiki yako ujumuike nae pale.Kuangalia dada mwenyewe simfahamu, nikaenda kumsikiliza akaniambia kaka samahani najua hunifahamu lakini naomba unipe kampani kila kitu juu yangu.Mezani kuna funguo za gari na simu 2 za bei mbaya na mwili mzima kachafuka dhahabu.Nikaogopa na kumwambia utanisamehe kuna sherehe tunaenda na rafiki yangu labda siku nyingine."
Hii comment nilitoa kwenye ile thread ya aliekua anatafuta demu kwa ajili ya weekend mwezi wa nane,nafurahi kuwajulisha huyu dada ndio girlfriend wangu sasa na tatizo la kununua sex halipo tena kanisahaulisha machungu yote ya mahusiano ya zamani.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.
"Hii iliwahi kunitokea pale Breakpoint nilikuwa nimekaa na rafiki yangu tunapata konyagi ghafla akaja muhudumu na kutuletea mzinga . Tukamwambia mbona ya kwanza hatujamaliza na hatukuagiza ingine? akasema kaka nimeagizwa na dada yule aliekaa pale anaomba ukimaliza na rafiki yako ujumuike nae pale.Kuangalia dada mwenyewe simfahamu, nikaenda kumsikiliza akaniambia kaka samahani najua hunifahamu lakini naomba unipe kampani kila kitu juu yangu.Mezani kuna funguo za gari na simu 2 za bei mbaya na mwili mzima kachafuka dhahabu.Nikaogopa na kumwambia utanisamehe kuna sherehe tunaenda na rafiki yangu labda siku nyingine."
Hii comment nilitoa kwenye ile thread ya aliekua anatafuta demu kwa ajili ya weekend mwezi wa nane,nafurahi kuwajulisha huyu dada ndio girlfriend wangu sasa na tatizo la kununua sex halipo tena kanisahaulisha machungu yote ya mahusiano ya zamani.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.
mademu wa bar elfu 5 mpaka 20 huwezi kuishiwa wala nini; kama kujenga utajenga na kama gari utanunua...una invest kwenye ngono sio? mkubwa kwanza usitumie sana nguvu ya hela kwenye mapenzi,hicho ndio kitu kitakuangusha kila siku.be you unapotongoza mwanamke haina haja manjonjo mengi.watu wengi wenye tabia ya kununua ngono wana historia ya kuonga sana wanawake wakati wana tongoza.relationships ni kitu sensitive sana na hili kuweza kuishi na mtu na mkapendana mnaitaji mawasiliano physicaly and mentaly mpaka manajikuta mnaconnect automatic.sasa kitendo chako cha kutaka pesa ndio hiwe inakufanyia mawasiliano ndio inakuangusha kwenye relationship zako zilizopita. hayo ni wazo yangu kutokana na uchunguzi wangu.
Hebu come again hapo!
What do you mean by normal relationship with the opposite sex? Are you doing it with the same sex?
Mlipima lakini kabla ya kuanza mahusiano yenu na huyu dada?,maana kuna wengine wameingia kwenye mkenge kwa staili hii ya kukutana na akina mama wenye uwezo(waliochafuka kwa dhahabu,wenye magari mengi,wenye pesa za kumwaga) na baadae wanaambulia kuambukizwa ngoma.....Kuna rafiki yangu aliingia mkenge baada ya kupata zali kama hili lako,lakini alikaa na yule mama miezi 6 akafariki(yule mama) akamuachia yule mshikaji wangu MALI kibao na UKIMWI...Jamaa kwa sasa ni marehemu,hakuzifaidi hata hizo mali alizoachiwa,alichokifanya kipindi hicho baada ya kujigundua kaambukizwa ni kuanza kutembea hovyo na watoto wa kike(hasa wanafunzi),Siku jamaa alivyokufa ilikuwa mshikemshike maana aliacha orodha ya wanawake aliotembea nao wengi wakiwa wanafunzi wa Sekondari(Nakumbuka gazeti la Kasheshe enzi hizo lilitoa habari hizi),ilikuwa ni mshikemshike,watu walidata aisee
Mlipima lakini kabla ya kuanza mahusiano yenu na huyu dada?,maana kuna wengine wameingia kwenye mkenge kwa staili hii ya kukutana na akina mama wenye uwezo(waliochafuka kwa dhahabu,wenye magari mengi,wenye pesa za kumwaga) na baadae wanaambulia kuambukizwa ngoma.....Kuna rafiki yangu aliingia mkenge baada ya kupata zali kama hili lako,lakini alikaa na yule mama miezi 6 akafariki(yule mama) akamuachia yule mshikaji wangu MALI kibao na UKIMWI...Jamaa kwa sasa ni marehemu,hakuzifaidi hata hizo mali alizoachiwa,alichokifanya kipindi hicho baada ya kujigundua kaambukizwa ni kuanza kutembea hovyo na watoto wa kike(hasa wanafunzi),Siku jamaa alivyokufa ilikuwa mshikemshike maana aliacha orodha ya wanawake aliotembea nao wengi wakiwa wanafunzi wa Sekondari(Nakumbuka gazeti la Kasheshe enzi hizo lilitoa habari hizi),ilikuwa ni mshikemshike,watu walidata aisee
eheheheheheh 🙂