Am I beggining to loose my integrity?

Unakumbuka nilishawahi kukuambia current mchumba wako huna mapenzi naye ya kweli. Leo umenihakikishia na umeniongezea confidence kwenye kuamini analysis zangu!
duuuh dada kumbe wewe mtabiri eeeh
 

yereuwiiii...kiruuuu mods nku mkeri lanye????ngoo yapalika paaa
 
baba yangu alinikataza kuwa na marafiki wa kike..matatizo yake ndio haya...kama hutaki kunipa kitu yako chapa lapa..nina dada zangu wanatosha kuwa marafiki zangu...
 
hivi wewe ni mwanaume au??kweli tunatofautiana.....nikiachana na mtu...inanichukua masaa tu kumpotezea.......kabla ya siku mbili kupata mapoozeo somewhere else!!!
 
fundisho kwa mijibaba.....pigeni shoka! hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume!

hashycool,mambo? how is Michelle?
achana na hii njemba,miaka minne na mwanamke unamwangalia tu,amekuwa dadako?
 
Last edited by a moderator:
Yaani nikijisikia hamu ya kucheka ndio huwa nakuja huku MMU, yaani dume zima unasema you don't believe sex before marriage!!......wenzako siku hizi tumeongeza vigezo we beleive sex and marrige is not necessary but pregnancy and baby must.
Mimi nadhani watu wengine mlishindwa kujitambuwa kama mlizaliwa na wito wa kitawa, kwahiyo unataka kuniambia ndani ya miaka 4 hujagonga ngozi kabisa!?
 

We PADRI humo humu leo
 


Jaribu kama unavyoweza kuendeleza hiyo hate ili utimize ndowa yako unayotaka kufunga!
 
hivi wewe ni mwanaume au??kweli tunatofautiana.....nikiachana na mtu...inanichukua masaa tu kumpotezea.......kabla ya siku mbili kupata mapoozeo somewhere else!!!

Mkuu hapo inategemea definition yako ya mwanaume. Jamani, surely there is smthng more to women than kuwa mapoozeo! Ajabu mtu kama wewe anaona raha kusema hivyo ila akiulizwa mzazi wake naye alkuwa hvyo? anataka kupigana!
 
Mkuu hapo inategemea definition yako ya mwanaume. Jamani, surely there is smthng more to women than kuwa mapoozeo! Ajabu mtu kama wewe anaona raha kusema hivyo ila akiulizwa mzazi wake naye alkuwa hvyo? anataka kupigana!
Subira yangu ndio iliniponzaa, ngoja ngoja naonekana zobaa x 2
Mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi, mabayaaaa!!
Banana Zoro.
 
Petcash, acha kutazama nyuma, kaza uso kuelekea mbele. Hakuna mtu asiyependwa duniani na wala usijaribiwe kurudiana na huyo dada kwamba ati hakuna mtu wa kukupenda. Ukiamua kurudiana naye kwa hisia ati hakuna wa kukupenda basi uko hatarini, kama unadhani bado unamchukia, mueleze wazi hisia hizo na sababu ya hisia hizo ili uone kama yuko serious au kwa kuwa tu ametoswa.
 
Pole sana kaka, hapo angalia utaratibu mwingine, chukulia kama mlipotezana au amefariki je hutaoa tena?hapo huna mpenzi ila una mpita njia katika maisha yako,

maadam unahofu na mungu, piga magoti mwombe akuonyeshe njia na mke bora na si bora mke
 
pigia mstari neno MOVE ON... and walk the talk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…