Jamani pauline zaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,usiogope. Nimeshashuhudia kuna mmama mmoja jirani yetu hapo ilala dar, hakutaka kuzaa ujanani, akashtuka uzeeeni,kila akijaribu kutafuta wapiiiii? Sasa hv yu kama yatima nyumbani kwake,mumewe hashindi nyumbani,anatumia muda mwingi kwa kimada aliye zaa nae. Sasa huyu mama ameishia kuwachukua watoto wa kaka zake tena kwa nguvu ili awalee ila tu wakati shule zinapofungwa, wenye watoto wakija kuwachukua shule zinapofunguliwa anachukia balaa. Paule zaaa nakushauri zaaa haraka shauri yako.yu kama
Hahaha hamna bwana nataka usikatae kuzaa kwasababu ya mwanaume maana hata akikubali kuwepo anaweza kuondoka kwa lazima so kataa kuzaa kwasababu WEWE hutaki /hitaji mtoto!hahah lizzy bana,nitagangamala,naona tunaelekea kwenye usingle-mother nisingependa ufike huko bwana:happy::happy:mie naongelea wababa wanaokwepa wajibu wao wa kulea kisa ni wanaume,.....sitagangamala peke yangu aisee nitamconfront na yeye atake part kwenye malezi!lol
....Nimeishi na dada yangu katika kipindi cha mwisho (last semmester) cha ujauzito mpaka alipojifungua mtoto wa kiume...mwenzenu sijui kwa nini,kumuona dada yangu anavyohangaika na mtoto limeniput off kabisaa mimi kuzaaa na kulea!.....jamani sio kazi rahisi especially siku za kwanza,nimeona hata usiku kila baada ya lisaa limoja mtoto alikuwa analia,inabidi ambembeleze ampe maziwa etc HULALI. .....pia kuwa na mtoto kumemzuia kwenda kusocialize kwenda club,parties etc....
...nauliza nyie wamama wa JF how do you balance being a mother,a wife ana may be full time worker........kwa sababu kila nikiangalia mwenzenu naona kama YATANISHINDA,hilo la umama naona kama nitalisacrificE nibaki hivi hivi...LOL
mwenzenu naona U MAMA ni wito kama vile ulivyo upadre LOL,'sio wote 'wanaitwa'! hehehe....kuna wanaowaza kama mimi au???????????????????????
Happy mothers day to all mamas here in JF,some of us understand how much you sacrifice for the sake of your kids...BIG UP TO YOU ALL....
Wapo wengi tu!hapo nilipobold naona ndio penye tatizo.....wengi wanalichukulia ni jukumu la mwanamke zaidi,kweli fanya utafiti wa wababa wangapi hata wanajua kubadilisha mtoto pampers,uone utakavyoshangazwa?!
....Nimeishi na dada yangu katika kipindi cha mwisho (last semmester) cha ujauzito mpaka alipojifungua mtoto wa kiume...mwenzenu sijui kwa nini,kumuona dada yangu anavyohangaika na mtoto limeniput off kabisaa mimi kuzaaa na kulea!.....jamani sio kazi rahisi especially siku za kwanza,nimeona hata usiku kila baada ya lisaa limoja mtoto alikuwa analia,inabidi ambembeleze ampe maziwa etc HULALI. .....pia kuwa na mtoto kumemzuia kwenda kusocialize kwenda club,parties etc....
...nauliza nyie wamama wa JF how do you balance being a mother,a wife ana may be full time worker........kwa sababu kila nikiangalia mwenzenu naona kama YATANISHINDA,hilo la umama naona kama nitalisacrificE nibaki hivi hivi...LOL
mwenzenu naona U MAMA ni wito kama vile ulivyo upadre LOL,'sio wote 'wanaitwa'! hehehe....kuna wanaowaza kama mimi au???????????????????????
Happy mothers day to all mamas here in JF,some of us understand how much you sacrifice for the sake of your kids...BIG UP TO YOU ALL....
....Nimeishi na dada yangu katika kipindi cha mwisho (last semmester) cha ujauzito mpaka alipojifungua mtoto wa kiume...mwenzenu sijui kwa nini,kumuona dada yangu anavyohangaika na mtoto limeniput off kabisaa mimi kuzaaa na kulea!.....jamani sio kazi rahisi especially siku za kwanza,nimeona hata usiku kila baada ya lisaa limoja mtoto alikuwa analia,inabidi ambembeleze ampe maziwa etc HULALI. .....pia kuwa na mtoto kumemzuia kwenda kusocialize kwenda club,parties etc....
...nauliza nyie wamama wa JF how do you balance being a mother,a wife ana may be full time worker........kwa sababu kila nikiangalia mwenzenu naona kama YATANISHINDA,hilo la umama naona kama nitalisacrificE nibaki hivi hivi...LOL
mwenzenu naona U MAMA ni wito kama vile ulivyo upadre LOL,'sio wote 'wanaitwa'! hehehe....kuna wanaowaza kama mimi au???????????????????????
Happy mothers day to all mamas here in JF,some of us understand how much you sacrifice for the sake of your kids...BIG UP TO YOU ALL....
lizzy soma hapo.Mwanamke jasiri haachi asili . . .
Wewe ni jasiri unaetaka kuacha asili yako
*Umenitamanisha nikuoe*
Hahahah Hus bwana usinishawishi kuchakachua thread yakumshawishi bibie asiogope kukosa klabu!!Nimeona nikaamua kunyamaza maana mtu mzima halindwi!lizzy soma hapo.
nitazaa kama utanisaidia kulea,mie niende disco :happy::happy::happy:
Dearest nikisoma hii na zinazofatia ni kama unaongea from experiance na kila kukicha unadai we ni mdogo tusikwambie maneno mazito lol!Ni kawaida kabisa...ila huo ugumu unaouona ukilinganisha na raha utakayopata kumwangalia na kumpakata mwanao mikononi mwako the later wins.Ni vizuri umejua mapema kwamba hutaki /tamani kua na mtoto maana kuna ambao wanagundua baada ya kuzaa alafu wanaishia kutowajali watoto wao!Wengine wanaacha hata vichanga ndani wao wanaenda klabu!!Jua tu nini ni muhimu kwako kabla ya kufanya maamuzi...kama ni kwenda klabu bila kujipa mapumziko hata ya mwaka mmoja tu basi usizae....ila jua huko mbele wakati hata klabuni hakuendeki unaweza kuishia kutamani ungekua binti au kijana wako akwambie mama nakupenda umkose!!!!
Semester inayoongelewa hapa ni ya ujauzito sio chuo hahaha!i'm comin a litle bit personal...how old are you pauline? Na hiyo semester unayozungumzia ni zamani kodogo au, i mean are u stil at university? And if yes, ni mwaka wa ngap.? I can be of a good advice kama ukinijibu, please