Am I wrong if I process divorce?

Watu mnapenda kushauri divorce ndoa za watu, navojua aliyekomaa ktk ndoa haezi kurupuka kushauri kuachana.....wengi wenu mnaoshauri kirahisi divorce HAMJAOA WALA KUOLEWA....WASIMBE
 
NDANI NA NJE.👏👏👏👏
 
Badala ya kuuzima moto katumia njia ya kuchochea kwa kutia petroli, analo sasa maake mleta mada keshapata suluhisho anaondoka zake
 
ile movie kali sana
 
Unaweza shauri divorce kumbe mwenzio kaandika tu kupunguza hasira Ila hana hata wazo la kutengana na mumewe....ushauri wa kuachana kama mtu anakatazwa kula ugali dagaa kirahisi ivo ni mgumu mnoooo
Siku zote ushauri utabaki kuwa ushauri... but ukisoma alichoandika mkuu mwenye mada utagundua she real needs help na kuwa hana hasira kwenye maandishi yake.
Huyu dada ni mke bora kabisa (in my perspective) lakini jamaa anamlet down.
 
LEEEEEEAAAAAAVEEEEEEEEEEEEE hata kama una earn sh 50,000 ni yako hata kama utalala chini na ule mlo mmoja ni sawa u have ur sanity and peace of mind haya mengine Mungu atasaidia... baby girl LEAVE-
 
Miaka 8 duh seriously
 
Siku zote ushauri utabaki kuwa ushauri... but ukisoma alichoandika mkuu mwenye mada utagundua she real needs help na kuwa hana hasira kwenye maandishi yake.
Huyu dada ni mke bora kabisa (in my perspective) lakini jamaa anamlet down.
Unaweza jitolea uendelee nae ila ukashangaa akakulet down wewe bana yani mapenzi haya 😅😅😅
 
Nimekuelewa madam.
 
Dada una ukatili ndani kwa ndani.Muonge Mungu/miungu unayoabudu ikufungue
 
Aisee hili swala limekuwa serious sasa😅 ina maana hawa watu ni wa kuanzishiwa uzi kabisa wanaosusa mboga nyumbani! 8 years ukae na mwanamke binti wa mtu humkazi? Yani toka 2013 jamaa ajafunua kyupi chako hadi jembe Magu katawala hadi kafa na kuzikwa 😅???

How do you deal with it?
 
C* kama ndoa ilikuwa kanisani uko free,,, if you are sure kuwa he's cheating then hauna bond tena na huyo mtu,, kasome mathew 5 i think ni from verse ya 27,, now u are free,,to leave him,,, confront him and walk away,,, don't wait for the situation kuwa worse

"You've got to know when to hold 'em Know when to fold 'em Know when to walk away And know when to run" alijiimbia Kenny Rogers

Miss its time to run away,,, u treat yourself with dignity na hakuna mwenye haki kukutreat less than that,,, PLEASE WALK AWAY,,, I'VE SEEN HOW THIS SHIT TURNS TRUST ME HAUTATAKA KUWEPO WHEN HE WILL RAIN HELL ON YA
PLEASE WALK AWAY
 
Ila wewe mwongo sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…