Am I wrong if I process divorce?

Wapi nimekutaja dada? Nimezungumzia watu in general Kama umejiingiza kwenye Hilo kundi la watu ni juu yako. Unataka nifanyeje? Nisijibu mtu akiniquote?
Sijui uliyoyapitia hata hii mada tunamjadili mtu tusiyemjua...nilishaacha kukujibu wewe najibu wengine Kama wanavyoniquote. Relax..baki na mtazamo wako niache niendelee na mtazamo wangu.
Kama vipi omba uzi ufungwe, mi nitaendelea kujadili chochote ninachojisikia.
 
Uzi ufungwe kwa lipi??
Pole,naona ushauri wangu ulikukera sana..
Hata hivyo dua hiyo hainitishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuja pm.nikiandika hapa watasema miss hujaolewa
 
Uzi ufungwe kwa lipi??
Pole,naona ushauri wangu ulikukera sana..
Hata hivyo dua hiyo hainitishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nilikereka na majibu yangu yalikukera zaidi. Kama hutishiki unahaha nini? Niache niendelee kujadili nachotaka na wewe endelea kivyako, sitajadili maoni yako. Mbona umepanic sasa, hebu niache tuendelee na mengine
 
Ndio nilikereka na majibu yangu yalikukera zaidi. Kama hutishiki unahaha nini? Niache niendelee kujadili nachotaka na wewe endelea kivyako, sitajadili maoni yako. Mbona umepanic sasa, hebu niache tuendelee na mengine
Ni kwa sababu ulinihusisha kwenye comment yako.
Nilishaacha lakini naona umening'ang'ania mno kwenye comments zako.

Itakuwa vema ukaendelea na mengine pasi na kunihusisha Mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nilichoamua sasa maana nitakufa kwa kihoro.
Acha kujitesa my dear life is too short 8 years kavukavu loh,ukishakuwa na vetenary wako hata huyo mpuuzi utamu ignore wanawake huwa tunateseka badala tutafte pakutoa hamu tunasikitika huku wanaume wanatoa hamu zao huko nje.
 
@Demi, nahisi huyo kapitia changamoto ya kutokujua ladha wala utamu wa kusex tangu usichana wake hadi sasa kiasi cha kuathiriwa kisaikolojia na haoni umuhimu wa kutiana.

Wapo baadhi ya watu wanapitia changamoto ya aina hii aidha kwa kujua au kutokujua. Juzi kati tumekaa maeneo ya Mbauda pale stories zikiendelea iliibuka mada ya mambo ya kuchapana miti.

Kwakuwa tulikuwa mchanganyiko (me & ke) wanawake wawili walionesha dhahiri kbs kushangazwa na mwenzao mmoja aliehadithia namna alivokumbana na kitombo heavy kiasi cha kukojoa yale maji maarufu sana kwa watu wa Kagera.

Mtu mzima miaka 48 anakuambia tangu aanze kut..ombwa hajawahi kukojoa, anasema hivi nyie wanawake wenzangu huwa mkit..ombwa mnakojoaje mbona mimi sielewi inatokeaje tokeaje? Au nina kasoro gani?

Mtu wa namna hii ni ngumu sana kulifurahia na kulithamini tendo la kuchapana miti. Atakuwa anapata hamu / nyegge lakini haoni umuhimu wake. Ni kama mgonjwa wa malaria kali ana njaa lakini chakula hakipandi kwahiyo haoni umuhimu wa kula hakina ladha.

Sasa kwenye maelezo yao katika kila mmoja kudadisi unagundua Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea hali hiyo, kubwa sana ikiwa ni inategemea na ubunifu wa wawili hao tangu walipokutana. Mtu anakuambia hawezi kuhimili kut..ombwa taa ikiwa inawaka eti anaona aibu (kwa mumewe)!!!!!!! Hawezi kunyoana mavuzz! na mume wake wa ndoa!! Ukigusia suala la kunyonyana ndio kiruuuuu anakuambia anataka kutapika!, na anamuona huyu anayeyafanya hayo yote ni malaya aliyekubuhu au mtenda dhambi au vinginevyo.

Kuna wakati fulani unakumbana na mtu mzima wa umri kama huo 51 unamt..omba halafu anakuambia natamani ningekutana na wewe tangu ujana kwani sijawahi kut..ombwa nikapata raha kama hivi! na ukimtazama kwa makini anakuwa anamaanisha kile anachokizungumza.

Mahusiano yanahitaji kujifunza na kuvumiliana kwa mambo mengi sana ila kupigana hadi kulazwa mngh! Hapana kwakweli
 
You are living with a timing bomb, kuna wanaume wengine wana matatizo ya kijinga ambayo hata ufanyeje huwezi mbadilisha. Unajitesa bure kukaa naye because this is beyond stupidity as there's no love there. Umevumilia vya kutosha, you need to look at the big picture here which is You and your happiness. Mwanamme hakufurahishi as a husband or partner, why stay with him? Sepa haraka sana kabla hajakuua kutokana na stress zake au kukuambukiza maradhi.
 
Njoo DM tutayajenga vizuri............yeye alimwambia Nani akuoe mrembo...😂😂si angetafuta wabaya wenzanke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…