Siku akirudishwa kwao kwenye jeneza utapiga vigelegele. Kama bado hujaolewa nakuombea upate janadume la hivyo
hahahahahah umenifanya nifurahi sana,,,ngalorwa aisee,,nwaamba cha loi kapsaaaa, mapenzi zero ila mnajali watotoHahahaaa
Mapenzi sio sana kwakweli ila tunapenda watoto sana....mi heri nitembee peku kwakweli
Usiogope vibao viwili vitatu ndio ndoa inasonga...tatizo mmekua laini na "woke" sana na "feminism"
Yaani ni "Leka tupu maee"!
Mkuu usifanye vijana wakaogopa kuingia, kwenye pool nyoka ni wengi kuliko samaki.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyoka oyeèeeeeeeeh.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka kwa sauti.
Da sophy alikuwa anatunyoooshaaa.
Na sisi na ubishi sasa ndo tunaziiiid kumlandiaha mavi ya kifua.
Dah.
Ile enzi jamani.
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
You can't keep a person who doesn't want to be keptYaan if a man doesnt want you jamani hata ufanyeje. He will always find a way to create chaos. Its what i learnt. Wananichangamsha hawa watu[emoji23][emoji23][emoji2222] yaan nikikumbukaga nilivyokuaga mpole jaman pooh mbakaa.. nimechangamkaaa balaa.
Mimi bado Sijapewa usinizibie ridhiki ChiefMkuu usifanye vijana wakaogopa kuingia, kwenye pool nyoka ni wengi kuliko samaki.
Kwenye maandiko wanasema utapewa wa kufanana naye, hope Saint Anne atapewa wa kufanana naye kama walivyopewa akina Chakorii , Demi , snowhite na Mama mtumishi Heaven Sent
Wakati wengine wakilia kupewa wasiofanana nao Mama lao Sky Eclat na Babu Asprin wana adhimisha miaka 40 ya ndoa yao, what anniversary 😄😜🙌
Kama ndiyo hivyo mbona outings zangu unazipiga chini, nilikwambia usiangalie uzee wangu wewe ukaogopa kesi ya mauaji.Mimi bado Sijapewa usinizibie ridhiki Chief
Hatari sana aisee. Hawapendeki. Ing'sumbua moo u wakwa tiki kila mfiri. Ngikundi kupooh mbakaaa chaloi hahahahahahh, hawa viumbe wanaweza kukubadilisha hadi ukajishangaa mwenyewe
[emoji1666]For sure
Kupigwa tena? Sasa kwanini mnatunyanyasaga as if na sisi hatuna wazazi?Ni kweli unayosema
Sadly
My daughter ananiuma sana....cha msingi avumilie tu alimradi huyo mwanaume sio kichaa wala maniac!
Kama ni clinically maniac au kichaa,ni wa kuacha au ku-block ndoa kabisa
I see myself blocking stupid marriages from the start on my daughter...Its strange yes,ila naweza block kama naona hatari toka mwanzo
Kupigwa kidogo sio tatizo kukuweka sawa,hata mwanangu akija kupigwa kidogo sio mbaya,mara moja kwa mwaka!
Sio unaguswa kidogo unaacha ndoa,utaacha wangapi sasa?
Hahaha eeeh ruwa mangi. Ruwa akutaramieni muvolye usukwa sho wamonuTulieni...kofi moja kwa mwaka sio mbaya
Sometimes mnakuaga hamnyooki....mwamba lazima afanze mambo kidogo
Eti "ptuuu mbaka,sia"....."Sia tupu mae"....you people are Chaggas at heart!
Yes. We should let it goYou can't keep a person who doesn't want to be kept
Weee bana weeee , we all have closets.
Msijifanye hapa nyie ndo miti mmekosa wajenzi.
I hate it when people play innocence.
Hamna mtu kanyooooka, and while mwenzi anafanya wehu we ulikaa tu kama nukta.
Sio kweli.
We are all sinners, it's just we sin differently.
Kila mmoja has a role to play kufanya ndoa iwe imara na iwe hovyo.
Ikifika pa separation, muachane tu.
Sio kesi jamani.
Huhitaji kuwa saint ili ndoa yako iwe imara.
Haya mambo huwa tu yanatokea.
Ndo hivyoKama ndiyo hivyo mbona outings zangu unazipiga chini, nilikwambia usiangalie uzee wangu wewe ukaogopa kesi ya mauaji.
Chelewa chelewa utakuta Pension imeisha 😜🙈
ote maa inyi mono ama lekaaaaaHatari sana aisee. Hawapendeki. Ing'sumbua moo u wakwa tiki kila mfiri. Ngikundi ku
msacha oko kirundioni...hahahahahahahUnavumilia kidogo
Wazazi si ulishawaacha,au bado wewe ni mtoto bado?
You are an adult,think for yourself,haupo chini ya wazazi,where is this link comes again?
Una famili,watoto na mume,mmezenguana na mumeo regardless yupi ana kosa,kakupiga kofi unaenda kwa wazazi kuishi huko?Mzazi anakaaje na mke wa mtu?Akupeleke wapi sasa?
Vumilia tu kiaina na make your acts together usimtibue mwenye nguvu sana atakusumbua
nakupenda coz unajitambua hahahahhahahaAna kazi kweli ngoe!
Ila anajuaga her position tunaenda kisayansi,mpaka hua tunacheka at times!
Nisingechukua wa nyumbani ungekuta nishaachika kitambo!
Hahahahaa
Kama ambavyo unataka baki na bintiyo na baba yangu ananitaka piaUnavumilia kidogo
Wazazi si ulishawaacha,au bado wewe ni mtoto bado?
You are an adult,think for yourself,haupo chini ya wazazi,where is this link comes again?
Una famili,watoto na mume,mmezenguana na mumeo regardless yupi ana kosa,kakupiga kofi unaenda kwa wazazi kuishi huko?Mzazi anakaaje na mke wa mtu?Akupeleke wapi sasa?
Vumilia tu kiaina na make your acts together usimtibue mwenye nguvu sana atakusumbua
Hahaha mbutukunaaote maa inyi mono ama lekaaaaa